akohi
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 788
- 524
Kwa maono yangu, naona Anna Makinda anajuta kupewa majukumu mazito na ninahakika hata kuja rudia tena na nifundisho kwa akina mama.
Pia hata wale walifikiri Usipika ni lele mama sasa kila mtu inbid ajiulize mara mbili mbili maana sio km walivyotarajia kama ambavyo mkuu wa kaya kasema juzi kuwa haoni haja ya kufanya mabadiliko maana muda ulio salia ni mchache.
Pia hata wale walifikiri Usipika ni lele mama sasa kila mtu inbid ajiulize mara mbili mbili maana sio km walivyotarajia kama ambavyo mkuu wa kaya kasema juzi kuwa haoni haja ya kufanya mabadiliko maana muda ulio salia ni mchache.