Spika Makinda: Mjadala hauzuiliki

Spika Makinda: Mjadala hauzuiliki

Ni ule mkwara wa jada wa kumpigia kura ya kutokua na imani nae labda ndio maana kanywea

Msimamo wa Makinda toka mwanzo uko wazi. Alishasema wakati ule wa BMK kwamba ripoti hiyo ingefika bungeni watu serikalini wangekuwa nje. Bado msimamo wake huo huo. Jana wengine hamkumwelewa tu.
 
Spika wa Bunge,Anne Makinda amesema kuwa Mjadala wa Ripoti za CAG na TAKUKURU juu ya Escrow hauzuiliki. Spika Makinda alinidokeza kuwa kwa hali iliyopo,mjadala utafanyika na maamuzi kufikiwa. Ameongeza kuwa Ripoti husika zimeshaanza kugawiwa kwa Wabunge kama alivyoahidi jana asubuhi Bungeni.

"Mjadala utafanyika. Kujaribu kuuzuia ni kujitafutia lawama. Sina cha ku-save hapa zaidi ya kuongoza mjadala na kufikia maazimio" alisema Spika Makinda huku akiangua kicheko.

Mambo ni moto. Kaeni mkao wa kula. Kesho msiangalie hata pembeni. Best wishes to Zitto,Parliamentarians and the Cabinet!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (Dodoma kwa kazi maalum)

Msimuamini Huyu Mama

Mchezo dk 90.
 
hahahaaaaa Wallah unamtafutia BAN ya bure zumbemkuu
wewe jishoga la mbowe nenda kamtumikia mbwana wako huo. sisi hapa tunajadili mambo ya maana na kusubiri kwa hamu ripoti itakayosomwa na MHESHIMIWA ZITTO, mwenyekiti wa PAC. tunajua inakuuma sana na ungetamani labda hiyo nafasi angekuwa nayo basha wako mbowe, slaa au lema lakinindo hivyo hawana sifa na sio ajabu kwenye hizi tuhuma yumo. fal'a wewe.
 
Last edited by a moderator:
Mama yetu Makinda, suala hili hipo mikononi mwako, endesha mjadala bila upendeleo - hukumu za watuhumiwa zifanyike bila kujali ni kina nani ndani ya serikali ama chama tawala.

Mama, suala hili ukilimaliza kwa viwango vinavyotakiwa linaweza kukupa heshima kubwa mno ndani ya nchi yetu. Ningelikuwa mimi ni wewe, hili ndilo lango kuu la kutokea.

Kufa kufaana na adui yako muombee njaa - Paa mama yetu ili umma wa watanzania tukuamini kama kweli mama wa JEMBE.

Tunakutakia uendeshaji mwema wa mkadala huu - umma wa watanzania tupo tayari kuufutilia.
 
kesho TANESCO msijifanye sijui umeme umekatika tutalaumiana sana shauri zenu
 
achana na huyo mpumbavu. yeye hata kwenye mambo ya maana ni kuendeleza personal attack kwa watu wanao-risk maisha yao kama akina Zitto na Kafulila. hivi hatuna hata kitu kimoja kinachotuunganisha? kama hata hili la wezi wa fedha za umma limeshindwa kutuunganisha, sasa tutaungana kwenye nini.
Obama akiwa rais, john mccain huwa anamuwakilisha kwenye mambo mengine ya kitaifa. sis hapa tumekuwa kama mazuzu tu.

hahahaaaaa Wallah unamtafutia BAN ya bure zumbemkuu
 
Watanzania ni wapumbavu na tunapenda kuongea tuuuuuuuuu.......na kesho tunasubiria kuongeaaaa tuuuuuuu....RICHMOND ilienda bungeni ikajadiliwa...Maamuzi yakafanyika...nini kimetekelezwa? nini kimefanyika kati ya mapendekezo yaliyotolewa....Nasikitikia sana watanzania...nani katuloga?
 
Spika wa Bunge,Anne Makinda amesema kuwa Mjadala wa Ripoti za CAG na TAKUKURU juu ya Escrow hauzuiliki. Spika Makinda alinidokeza kuwa kwa hali iliyopo,mjadala utafanyika na maamuzi kufikiwa. Ameongeza kuwa Ripoti husika zimeshaanza kugawiwa kwa Wabunge kama alivyoahidi jana asubuhi Bungeni.

"Mjadala utafanyika. Kujaribu kuuzuia ni kujitafutia lawama. Sina cha ku-save hapa zaidi ya kuongoza mjadala na kufikia maazimio" alisema Spika Makinda huku akiangua kicheko.

Mambo ni moto. Kaeni mkao wa kula. Kesho msiangalie hata pembeni. Best wishes to Zitto,Parliamentarians and the Cabinet!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (Dodoma kwa kazi maalum)

mwambieni Zitto ana lawama nzito toka kwa mama tibaijuka
 
Bi mkola anatulaghai kesho ngoma haisomwi so anatuaada tusiachie vifungu humu kwani kuna wanasheria kubao wanajua mipaka ya bunge
 
achana na huyo mpumbavu. yeye hata kwenye mambo ya maana ni kuendeleza personal attack kwa watu wanao-risk maisha yao kama akina Zitto na Kafulila. hivi hatuna hata kitu kimoja kinachotuunganisha? kama hata hili la wezi wa fedha za umma limeshindwa kutuunganisha, sasa tutaungana kwenye nini.
Obama akiwa rais, john mccain huwa anamuwakilisha kwenye mambo mengine ya kitaifa. sis hapa tumekuwa kama mazuzu tu.
ukishapona kuharisha damu ndo uniletee hiyo 0713............
 
ukishapona kuharisha damu ndo uniletee hiyo 0713............
jisenge wewe kesho kutwa ni frahiya day. sijui unaenda kufumuliwa wapi. vipi umevaa pampas? maana nasikia kikitoka huko ni moja kwa moja bila break.
 
jisenge wewe kesho kutwa ni frahiya day. sijui unaenda kufumuliwa wapi. vipi umevaa pampas? maana nasikia kikitoka huko ni moja kwa moja bila break.
wewe jishoga la mbowe nenda kamtumikia mbwana wako huo. sisi hapa tunajadili mambo ya maana na kusubiri kwa hamu ripoti itakayosomwa na MHESHIMIWA ZITTO, mwenyekiti wa PAC. tunajua inakuuma sana na ungetamani labda hiyo nafasi angekuwa nayo basha wako mbowe, slaa au lema lakinindo hivyo hawana sifa na sio ajabu kwenye hizi tuhuma yumo. fal'a wewe.
ona hilo neno Jisenge, Jishoga, hahahaha, lo yaani wewe ndiye hasa maana ndo wanapenda sana kutamka hayo maneno kwa kuweka herufi Ji...
wee lete 0654..... hiyo niitengeneze ili uwe na adabu.
 
Back
Top Bottom