Spika Makinda: Mjadala hauzuiliki

Spika Makinda: Mjadala hauzuiliki

Ngoja tusubir tuone jinsi Mwenyekiti wa DHADEMA , FREEM MBOWE atakavyojitetea kwa Mwenyekiti wa PAC, ZITTO KABWE

Nilisha kuambia wewe waweza kuwa "bwabwa" mbona unajipendekeza hivyo kwa Mbowe? Kama katajwa sii atawajibika? Ila majina yote katika Bank statements tumeyaona au wewe ndio ulipewa umpelekee?
 
mjadala upo kwenye ratiba tangu siku nyingi.huu uzi ni upotevu wa mda bure
 
Spika wa Bunge,Anne Makinda amesema kuwa Mjadala wa Ripoti za CAG na TAKUKURU juu ya Escrow hauzuiliki. Spika Makinda alinidokeza kuwa kwa hali iliyopo,mjadala utafanyika na maamuzi kufikiwa. Ameongeza kuwa Ripoti husika zimeshaanza kugawiwa kwa Wabunge kama alivyoahidi jana asubuhi Bungeni.

"Mjadala utafanyika. Kujaribu kuuzuia ni kujitafutia lawama. Sina cha ku-save hapa zaidi ya kuongoza mjadala na kufikia maazimio" alisema Spika Makinda huku akiangua kicheko.

Mambo ni moto. Kaeni mkao wa kula. Kesho msiangalie hata pembeni. Best wishes to Zitto,Parliamentarians and the Cabinet!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (Dodoma kwa kazi maalum)

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...sm-chadema-yapita-bila-kupingwa-iramba-2.html
 
Kwa mbunge atakayeipata tafadhali tupoate full copy hapa JF ili na sisi tuipitie na wengine huwa tunapenda kuweka kumbukumbu ya maandiko kama hayo kwa ajili ya future references.
 
Nilisha kuambia wewe waweza kuwa "bwabwa" mbona unajipendekeza hivyo kwa Mbowe? Kama katajwa sii atawajibika? Ila majina yote katika Bank statements tumeyaona au wewe ndio ulipewa umpelekee?

aka kamtu kanakojita #thatha katakua kake au kaume jamaa mana kana elementi za kishost sana
 
Nilisha kuambia wewe waweza kuwa "bwabwa" mbona unajipendekeza hivyo kwa Mbowe? Kama katajwa sii atawajibika? Ila majina yote katika Bank statements tumeyaona au wewe ndio ulipewa umpelekee?

aka kamtu kanakojita #thatha katakua kake au kaume jamaa mana kana elementi za kishost sana
 
Heri umaskini wa Nguo kuliko akili

ImageUploadedByJamiiForums1416895358.385774.jpg
 
Nikiona jinsi mtapanyo wa fedha ulivyomwaga naamini kabisa hakuna uhadilifu katika hili la ESCROW,mstari wa uvumilivu umeshachorwa,huu ni wakati wa wabunge wazalendo na watetezi wa wanyonge kuonyesha njia kwa vitendo,ili majina yao yaandikwe kwa wino wa dhahabu,lazima mabadiliko yatokee,hisiwe ishu ya upepo tu utapita,wananchi wanateseka sana katika nchi yao,waliwachagua nyie wabunge mkawatetee na kuisimamia serikali,tumepata short term reason,hata vita ya kwanza ya dunia ilikua na long term reason na short term reason,na short term reason ndo ilianzisha vita ya dunia,tumepata sababu ya haraka kuvunja mfumo wa unyonyaji na wizi katika serikali,Ila wabunge ambao wameamua kutetea wananchi,mimi kama mtanzania,kama ANNE MAKINDA ateleta upuuzi wake,basi aingie katika historia kuliingiza taifa katika machafuko,WABUNGE WAUNGANE WAWATANGAZIE WANANCHI HIYO JUMATANO WAZUNGUKE BUNGE,ili kukitokea ulaghai wabunge wa upinzani na baadhi wazalendo{ccm} wasikubali kutoka ndani ya bunge,wakikomaa siku mbili au tatu historia mpya itaandikwa
WABUNGE WAZALENDO UKITOKEA USANII WOWOTE TUNAWAOMBA MVUMILIE ATA WIKI MMOJA MSITOKE KATIKA UKUMBI WA BUNGE,TUTAWALETEA CHAKULA HUMOHUMO NDANI,NAAMINI MKIKAA WIKI NDANI YA UKUMBI,MNALALA HUMO HUMO HAWA MANYANG'AU WATAKIMBIA NCHI,MUAMASISHE WANANCHI WAJE VIWANJA VYA BUNGE SIKU YA HOJA YA ESCROW,TUNAOMBA HII IWE YA MWISHO KWA MAFISADI
 
Spika wa Bunge,Anne Makinda amesema kuwa Mjadala wa Ripoti za CAG na TAKUKURU juu ya Escrow hauzuiliki. Spika Makinda alinidokeza kuwa kwa hali iliyopo,mjadala utafanyika na maamuzi kufikiwa. Ameongeza kuwa Ripoti husika zimeshaanza kugawiwa kwa Wabunge kama alivyoahidi jana asubuhi Bungeni.

"Mjadala utafanyika. Kujaribu kuuzuia ni kujitafutia lawama. Sina cha ku-save hapa zaidi ya kuongoza mjadala na kufikia maazimio" alisema Spika Makinda huku akiangua kicheko.

Mambo ni moto. Kaeni mkao wa kula. Kesho msiangalie hata pembeni. Best wishes to Zitto,Parliamentarians and the Cabinet!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (Dodoma kwa kazi maalum)
Mzee Tupatupa na wewe mfereji wa Escrow haukukupitiamo walau kiasi? mmhh maana upo karibu karibu sana na watuhumiwa!!
 
Kamanda zitto ....ha ha ha namfananisha na king Leopard of Sparta yeye na Kafulila in 300 men
 
Naada ya Mnyaa kumwambia kuwa kuna tetesi kuwa naye kavuta USD millioni mama akapaniki na kuanza kutema cheche kuwa mtani... Sijui alikuwa anataka kusema mtanitambua au vipi. Hapo ndio walipo muweza kwani picha imejengeka kuwa akizuia tuu ni kwamba basi naye anahusika na mama wa watu pengine anajijua hajala hata senti ya nini lawama?


Ile ilikuwa ni strategy nzuri sana. Akizuia inamaana hata yeye alivuta anaogopa kuumbuliwa, hata kama anamtetea pm asijiuzulu..
 
Back
Top Bottom