VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Spika wa Bunge,Anne Makinda amesema kuwa Mjadala wa Ripoti za CAG na TAKUKURU juu ya Escrow hauzuiliki. Spika Makinda alinidokeza kuwa kwa hali iliyopo,mjadala utafanyika na maamuzi kufikiwa. Ameongeza kuwa Ripoti husika zimeshaanza kugawiwa kwa Wabunge kama alivyoahidi jana asubuhi Bungeni.
"Mjadala utafanyika. Kujaribu kuuzuia ni kujitafutia lawama. Sina cha ku-save hapa zaidi ya kuongoza mjadala na kufikia maazimio" alisema Spika Makinda huku akiangua kicheko.
Mambo ni moto. Kaeni mkao wa kula. Kesho msiangalie hata pembeni. Best wishes to Zitto,Parliamentarians and the Cabinet!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (Dodoma kwa kazi maalum)
"Mjadala utafanyika. Kujaribu kuuzuia ni kujitafutia lawama. Sina cha ku-save hapa zaidi ya kuongoza mjadala na kufikia maazimio" alisema Spika Makinda huku akiangua kicheko.
Mambo ni moto. Kaeni mkao wa kula. Kesho msiangalie hata pembeni. Best wishes to Zitto,Parliamentarians and the Cabinet!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (Dodoma kwa kazi maalum)