Spika Makinda, athibitisha 'Muswada Umeondolewa'

Maandamano ya CHADEMA yamezimwa kwa mantiki hiyo

Kusudi la maandamano ya CHADEMA ilikuwa kupinga MSWADA FEKI WA KATIBA KANDAMIZI kwa Wa-tz na hasa Wapinzani. M/Kiti wa CHADEMA F.Mbowe na kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni ametangaza rasmi kusitisha maandamano.

Kwa hiyo hapa si swala la kuzima maandamano ya CHADEMA.

Kwa mara nyingine CHADEMA wame-prove kuwa wako VERY SMART AND WELL ORGANIZED.
 
tangia uhuru hakuna chama cha upinzani kimeitikisa serikali kama chadema. kurudishwa mswada kwa shinikizo lililoongozwa na chadema ni ushindi. long live chadema
 
Ushindi wende kwa wazanzibari ndio waliouchana chana mswada ule teh teh teh,,mufahamu chanzo cha katiba ni wazanzibari,marekebisho ya 10 ya katiba ya znz au umesahauu,,,nawapa hongera watanganyika kuwapa support wa znz,,hehe
 
Wanabodi,

Ile sintofahamu ya Muswada imemalizika,
Wenye access watch TBC Live Now!.

Spika ametangaza Kamati ya Sheria na Katiba imeomba marekebisho kadhaa ikiwemo kuletwa kwa lugha ya Kiswahili, na kutangazwa kwenye magazeti ili iwafikie Watanzania wengi.

Wabunge wapiga vigelegele kwa kuimba CCM..CCM...as if ni CCM ndio wameshinikiza mabadiliko hayo.

Spika ameomba Watanzania tudumishe mila za kujadili kwa utulivu na amani

Kuondolewa kwa Muswada huu, ni uthibitisho mwingine kwa JF iko juu kwenye kupata breaking news za jikoni, na JF ni very reliable source of information.

Viva JF.

Pasco.


Hapo kwenye red, nimekubali. Viva JF.
 
Sasa wamekubali kuwa HAWAWEZI KUSHINDANA NA NGUVU YA UMMA<HUO NI USHINDI KWA WATANZANIA NA CDM PIA......:rip:CCM
 
CDM mlikuwa mnafanya maandamano wapi? mbona hapa nilipo kuwa wana CDM kibao lakini hakuna aneyeelewa lolote kuhusu maandamano? yale ni mawzo ya magamba, sasa magamba yamepigwa chini na mawazo yao.

Oh Really? This is another one of your trademark ultra-abusive message against CHADEMA. The unceasing stream of invectives that you have been hauling at the Party's stance on National Issues, without attacking the issues, is becoming worrisome. Stay on the issues and refrain from abuses and Entity attacks, it subtracts from you.
 
hawawabunge wa CCM wana matatizo, unajua wanashindwa kuweka maslahi ya taifa mbele, kila kitu wanaishia kutanguliza chama mbele, achen mambo ya ajabu wabunge wa CCM, pigeni makofi inatosha kuwaonesha watanzania mnatanguliza maslahi ya taifa mbele,CCM hawa hawa ndo walienda kuchukua watoto ili wajaze viti na wachangiaji wa mjadala wa katiba wasipate nafas, sasa wanashangilia nn, hebu achen kutufanya wapuuz, hongera serikali kwa kusikiliza matakwa ta watanzania
 
Mh. JK na serikali yake hawawezi jaribu kuruhusu maandamano ya mikoa 10 nchini juu ya hoja ambayo ni kweli.

What if watu wanaandamana, kisha wanakataa kurudi majumbani wakidai serikali iondoke madarakani? Mh. JK kasoma alama za nyakati mapema.........labda lije jingine.

CDM wanataka kupandia katika hoja ya Muswada tata?

Serikali iko VERY ALERT na yanayotokea duniani.

Ukweli, CDM mpo juuuu and keep it up!!! Hongereni ZENU.

Serikali inawa-underestimate waTZ. Ingekuwa very alert isingeleta mswada kama ule in the first place...
 
Oh Really? This is another one of your trademark ultra-abusive message against CHADEMA. The unceasing stream of invectives that you have been hauling at the Party's stance on National Issues, without attacking the issues, is becoming worrisome. Stay on the issues and refrain from abuses and Entity attacks, it subtracts from you.

mpaka atafute translator ndiyo atakuelewa....
 
Naishauri serikali iendelee kukubali ushauri wa cdm,siku ikigoma alaf wakaandamana itakuwa hamna kurudi nyumbani mpaka serikali iliyopo iungane Hosni Mubarak kule mapumziko!
 
uongoz n mgumu kuvumiliana n muhim, vita n hatar sana na ukolon unapumulia nyuma,lets be wise enought
 
Wanabodi,

Ile sintofahamu ya Muswada imemalizika,
Wenye access watch TBC Live Now!.

Spika ametangaza Kamati ya Sheria na Katiba imeomba marekebisho kadhaa ikiwemo kuletwa kwa lugha ya Kiswahili, na kutangazwa kwenye magazeti ili iwafikie Watanzania wengi.

Wabunge wapiga vigelegele kwa kuimba CCM..CCM...as if ni CCM ndio wameshinikiza mabadiliko hayo.

Spika ameomba Watanzania tudumishe mila za kujadili kwa utulivu na amani

Kuondolewa kwa Muswada huu, ni uthibitisho mwingine kwa JF iko juu kwenye kupata breaking news za jikoni, na JF ni very reliable source of information.

Viva JF.

Pasco.
kwenye red hapo, tumeona tatizo kwenye kutafuta wabunge wa SDCC/commonwealth. Inaelekea ni janja yao kuleta miswada kwa kizungu maana wanajua vilaza wengi watashangilia "ccm, ccm, ccm...." na miswada inapita.

Kuhusu how potential is JF in transforming the system hakuna ubishi katika hilo japo kuna challenge ya ni vipi watu wengi watafikiwa.
 
Back
Top Bottom