Mimi nilitokwa na machozi pale nilipoona wanachama wa CCM "kwa kutojua"
wakishabikia huo muswaada tata wa katiba mpya. Nilichoweza kusema ni kwamba
Labda hawajui walitendalo kwani kwa mapendekezo hayo hata kama CDM wengeingia
madarakani, basi watanzania tugeendelea kuteseka kwani hiyo ilikuwa katiba ya watawala
na sio katiba ya watanzania.
Eeeh Yesu ninakushukuru sana kwa kusikiliza maombi yangu na ya watanzania wengine
kwa kutunusuru na hila za CCM za kutupatia katiba fake inayokidhi matakwa ya aliyeko madarakani.
Nimefarijika sana hii ni zawadi nzuri sana ya PASAKA. Mungu wetu tunaomba utuepushe na
hao waovu wasiopenda kuona Watanzania tukipata katiba yetu.
wakishabikia huo muswaada tata wa katiba mpya. Nilichoweza kusema ni kwamba
Labda hawajui walitendalo kwani kwa mapendekezo hayo hata kama CDM wengeingia
madarakani, basi watanzania tugeendelea kuteseka kwani hiyo ilikuwa katiba ya watawala
na sio katiba ya watanzania.
Eeeh Yesu ninakushukuru sana kwa kusikiliza maombi yangu na ya watanzania wengine
kwa kutunusuru na hila za CCM za kutupatia katiba fake inayokidhi matakwa ya aliyeko madarakani.
Nimefarijika sana hii ni zawadi nzuri sana ya PASAKA. Mungu wetu tunaomba utuepushe na
hao waovu wasiopenda kuona Watanzania tukipata katiba yetu.