PreGE2025 Spika Dkt. Tulia: Huwezi kusema mtu katekwa kama hukuona

PreGE2025 Spika Dkt. Tulia: Huwezi kusema mtu katekwa kama hukuona

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Huo ndio ukweli.
tusiyumbishwe na hawa kunguni wanao dhani wanaweza kumtishia mtu mzima nyau!
 
Kifo ni kifo kama aliyeuwawa sio ndugu yako.

Kutekwa ni kwenda kutafuta maisha kama aliyetekwa sio ndugu yako.

Damu za watu huwa zinaondoka na watu.
 
Hayo ndiyo maelekezo, ndiyo maana asilimia kubwa waliorecordiwa wakitekwa, au gari la watekaji likipigwa picha.Baadae Tanpol wanakuja kutoa taarifa, ila kama mliishia kuona tu, hiyo imeenda.
 
Back
Top Bottom