PreGE2025 Spika Dkt. Tulia: Huwezi kusema mtu katekwa kama hukuona

PreGE2025 Spika Dkt. Tulia: Huwezi kusema mtu katekwa kama hukuona

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Spika na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Tulia Ackson akifafanua hoja ya Bunge kutotoa maelekezo kuhusu uwepo wa matukio ya Watu kudaiwa kutekwa na wengine kupotea Nchini, amesema hiyo inahitaji ushahidi na isiwe suala la kusikia.

Amezungumza hayo wakati akihojiwa na Wasafi FM, Mei 9, 2025, Mtangazaji Charles Williams alimuuliza ā€œKumekuwa na vitendo vinavyoitwa vya Utekaji, hata Ripoti ya LHRC imeeleza hilo, hapa Mbeya amepotea Mdude (Nyangali), CHADEMA na Serikali wametangaza dau kwa atakayefanikisha kupatikana kwake.ā€

Akaongoza ā€œJe, vitendo vya Watu kupotea au kutekwa vinaonekana vimeshamiri au vimerejea kwa kasi, Watu wanadhani Bunge lina sababu ya kusimamisha kusimamisha shughuli zake na kulijadili kwa kina suala hilo, wewe unasemaje?"
 
Spika na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Tulia Ackson akifafanua hoja ya Bunge kutotoa maelekezo kuhusu uwepo wa matukio ya Watu kudaiwa kutekwa na wengine kupotea Nchini, amesema hiyo inahitaji ushahidi na isiwe suala la kusikia.

Amezungumza hayo wakati akihojiwa na Wasafi FM, Mei 9, 2025, Mtangazaji Charles Williams alimuuliza ā€œKumekuwa na vitendo vinavyoitwa vya Utekaji, hata Ripoti ya LHRC imeeleza hilo, hapa Mbeya amepotea Mdude (Nyangali), CHADEMA na Serikali wametangaza dau kwa atakayefanikisha kupatikana kwake.ā€

Akaongoza ā€œJe, vitendo vya Watu kupotea au kutekwa vinaonekana vimeshamiri au vimerejea kwa kasi, Watu wanadhani Bunge lina sababu ya kusimamisha kusimamisha shughuli zake na kulijadili kwa kina suala hilo, wewe unasemaje?"
Speaker anaona hayana umuhim? Wananch kupotea anaona ni kawaida?
Watanzania muwe makini na aina ya viongoz mnaowapeleka bungeni. Hizi dharau na kiburi ni sabab mmewapa dhamana
 
Speaker anaona hayana umuhim? Wananch kupotea anaona ni kawaida?
Watanzania muwe makini na aina ya viongoz mnaowapeleka bungeni. Hizi dharau na kiburi ni sabab mmewapa dhamana
Hawa ni wabunge zao la magu 2020
 
Spika na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Tulia Ackson akifafanua hoja ya Bunge kutotoa maelekezo kuhusu uwepo wa matukio ya Watu kudaiwa kutekwa na wengine kupotea Nchini, amesema hiyo inahitaji ushahidi na isiwe suala la kusikia.

Amezungumza hayo wakati akihojiwa na Wasafi FM, Mei 9, 2025, Mtangazaji Charles Williams alimuuliza ā€œKumekuwa na vitendo vinavyoitwa vya Utekaji, hata Ripoti ya LHRC imeeleza hilo, hapa Mbeya amepotea Mdude (Nyangali), CHADEMA na Serikali wametangaza dau kwa atakayefanikisha kupatikana kwake.ā€

Akaongoza ā€œJe, vitendo vya Watu kupotea au kutekwa vinaonekana vimeshamiri au vimerejea kwa kasi, Watu wanadhani Bunge lina sababu ya kusimamisha kusimamisha shughuli zake na kulijadili kwa kina suala hilo, wewe unasemaje?"
Mpumbavu huyu kwa hiyo mdude kaenda Marekani siyo?
Kenge huyu
 
Wale wanunge wa ā€œniletee huyuuā€ ,moja ya kipind ambacho nchi ilipata wabunge wa hovyo sana
Yalikuwa mambo ya ajabu sana. --- na itatumika nguvu kubwa sana mpaka box la kura lije kuwa na thamani tena
 
Alichokiongea sijali ila nimependa pozi na jinsi alivyobana miguu yake. Sijui ni mimi peke yangu au Kuna wengine wamewaza kama nilichokiwaza?
 
Back
Top Bottom