Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,643
- 6,817
Ushauri wangu kwa Ndugai, kutokana na kusumbuliwa mara kwa mara na magonjwa, angeomba kupumzika ili imjenge kiafya na kuisimamia afya yake vyema, aachane na mambo yanayoweza kumletea msongo wa mawazo kwa namna moja ama nyingine kwa afya yake na familia yake.