Kiwango yaani sperm count na nguvu ya hizo spermwakuu hiv vipimo(sperm analysis) vinalengo gani? Hapo docta anataka kujua nini'? Naomba msaada please!
Hiyo inahusiano gani na maumivu baada ya kudo!!
tatizo la kitaifa hili
Hicho kipimo kinachukuliwaje wajameni?
Ina maana Dakta anakuambia upige bao ndio anapima hizo speed au?
hicho kipimo kinachukuliwaje wajameni?
Ina maana dakta anakuambia upige bao ndio anapima hizo speed au?
Na lengo lake hasa ni kuangalia nini?
kwani watoa kwa mkono...mbona nsahona mtu anaingizwa kidole .......halafu anapiga bao,halafu kinafanyiwa hospitalusiombe hicho kipimo..
Unatakiwa ukae siku tano bila ku do...
Halafu upige bao ,bao liingie moja kwa moja kwenye kichupa
ndani ya saa moja bao liwe maabara linachunguzwa
sasa pata picha unaishi gongo la mboto,kipimo muhimbili..
Au kupiga bao kwa mkono kwako ishu lol
kwani watoa kwa mkono...mbona nsahona mtu anaingizwa kidole .......halafu anapiga bao,halafu kinafanyiwa hospital
usiombe hicho kipimo..
Unatakiwa ukae siku tano bila ku do...
Halafu upige bao ,bao liingie moja kwa moja kwenye kichupa
ndani ya saa moja bao liwe maabara linachunguzwa
sasa pata picha unaishi gongo la mboto,kipimo muhimbili..
Au kupiga bao kwa mkono kwako ishu lol
kwani watoa kwa mkono...mbona nsahona mtu anaingizwa kidole .......halafu anapiga bao,halafu kinafanyiwa hospital
kwani watoa kwa mkono...mbona nsahona mtu anaingizwa kidole .......halafu anapiga bao,halafu kinafanyiwa hospital
wewe hatuzungumzii hospitali za mombasa hapa lol
Jibu hili hapa. Ni njia mojawapo ya kutatua tatizo la ugumba. sio mnalaumu mwanamke tu wakati risasi zina shida:mimba: :mimba:Hivi lengo hasa la hicho kipimo ni nini?
kuhusu sperm analysis nia ni kuangalia idadi (count), speed na hata morphology (mikia inahuu hapa, khabari yake konyagi na valuu bana!).
inawezekana dr anakuwa hajui shida ni nini kwa hiyo anajaribu kuangalia kama anaweza pata clue. angalia Periodic tip of penis pain after ejaculation, burning - STDs - MedHelp, ni tatizo lililopo kwa kiasi lakini unashauriwa umuone ''urologist'' . inasemekana kujilazimisha kupata haja kubwa mara baada ya tendo inasiaidia kupunguza hayo maumivu.
kuhusu sperm analysis nia ni kuangalia idadi (count), speed na hata morphology (mikia inahuu hapa, khabari yake konyagi na valuu bana!).
Jibu hili hapa. Ni njia mojawapo ya kutatua tatizo la ugumba. sio mnalaumu mwanamke tu wakati risasi zina shida:mimba: :mimba:
Ahaa, sasa Da' King'asti kuna sehemu umesema Konyagi na Valuu ndiyo habari yake; ulikuwa na maana kuwa hivyo vilevi vinatoa guarantee ya kutokuwa mgumba au niaje hasa?
Ni kweli usemacho kuna rafiki alienda India kwa matibabu ya ugumba akashindwa kutoa sperms akaja nesi akapaka mafuta kwenye kidole na kuingiza tundu la nyuma na sijui aligusa wapi jamaa anasema kichupa kilijaa.kwani watoa kwa mkono...mbona nsahona mtu anaingizwa kidole .......halafu anapiga bao,halafu kinafanyiwa hospital
mi nashangaa walivyonishushua nikaona isiwe taabu...wakati nimeona kwa jicho langu!Ni kweli usemacho kuna rafiki alienda India kwa matibabu ya ugumba akashindwa kutoa sperms akaja nesi akapaka mafuta kwenye kidole na kuingiza tundu la nyuma na sijui aligusa wapi jamaa anasema kichupa kilijaa.
Vitoto vingi humu akisikia kidole kinaingia huko anadhani ushoga haya ni matibabu.mi nashangaa walivyonishushua nikaona isiwe taabu...wakati nimeona kwa jicho langu!