Spencer Lameck pole sana na hongera sana

Spencer Lameck pole sana na hongera sana

Ni mtangazaji wa ITV na radio one.

Naandika kumpongeza kwa kusimamia taaluma yake na kuwa mkweli kwa kusema hii ni njano na kweli ni njano.

Pia nampa pole kwa vile kuna makada wa CCM walikuwa naye pale ITV wamepata nafasi ktk serikali ya mkuu wa kaya, yeye akionekana mithili ya "mpinzani" kwa vile tu alitumwa na mabosi wake kureport habari za mgombea wa CHADEMA ktk msafara wake.

Nampa pole kwa hilo, daima asijihisi mnyonge na kukata tamaa. Asiogope. "maji yakijaa kwenye kikombe humwagika".
Wewe Ngonyani umepewa nini? Watu millioni 47 wote tuwe ma DC, RC mawaziri, nani atakuwa lumpeni?
 
Apewe ukuu wa wilaya kwa elimu gani aliyonayo hadi kwa Muktadha wa Dr Magufuli alikubali kuwa ni elimu
 
Wale wasanii walioacha kazi zao za sanaa wakazunguka nchi nzima na nguo za kijani wako wapi kwenye huo ukuu wa wilaya? Yule alietembea nchi nzima na makamu wa rais na program yao mama mkanye mwanao yuko wapi mbona bado ana hangaika tu?
 
Back
Top Bottom