Spendezwi na
#spensa lameck mtangazaji wa itv anaetembea na mh ed lowasa, hatupi taarifa vizur kuna watu wengne hatuoni kama wanaongea mfano wabunge kujitambulisha pia anaonyesha sehem moja tu, hazungushi camera vizur pande zote, na anabana sana mda sekunde tu anatoa, sio vizur kabisa, mfano maludio ya mkutano wa chadema ameonyesha moja kwa moja jukwaani tu haonyeshi watu, tunataka jukwaa na kwa watu ili tujuwe mafuliko yakoje, fanya kama
#emmanuel buhohela anae tembea na magufuli, anatoa taarifa vizur kabisa, ingekuwa inawekwa video hum ningeweka