Ipo hivi.
Unaponunua simu toka mtandao husika like Tigo, Voda nk. wanakupa offer ya GB, Sms and dakika. Hii offer inaweza kuwa activated hata kwenye line yako ya siku zote so no need kwa wao kukupa line mpya unless ukihitaji.
Inawezekana vipi kuunga hii offer kwa line ambayo haikuwa katika simu? Jibu ni kwamba wanatumia IMEI za simu husika then mteja atapewa maelekezo ya kutuma Sms kwa service provider kuomba hiyo offer na pindi wakiconfirm IMEI yako ipo katika offer watakupa hiyo offer yako na kama umeshapata pia watasema kama imeshatumika au Ssmu yako haipo katika hiyo offer.
So hizo IMEI ni deal sana, get them Generate, Tweak and use on other sim cards to get same offer at your own risk.
Wasalaam.