Specifications za Tigo Kitochi 4G

Specifications za Tigo Kitochi 4G

Nilikuwa na mpango wa kukanunua ila kwa maoni ya wadau nimeahirisha. Ila vinauzwa sana asee. Leo nilipita voda shop moja kuvicheki muuzaji akasema vinanunulika balaa.
 
Kwa walionunua hizi simu kwa siku za hivi karibuni na Chief-Mkwawa kuna lolote zuri limeongezeka kwenye simu za tigo kitochi kama vile update ya operating system na kadhalika?
 
Kwa walionunua hizi simu kwa siku za hivi karibuni na Chief-Mkwawa kuna lolote zuri limeongezeka kwenye simu za tigo kitochi kama vile update ya operating system na kadhalika?
Simu nzuri sana hasa
1. Charge inakaaa kiasi
2. 4g ya ukweli haswa
3. Display iko vema unaona hata kwenye jua kali
4. Hot spot ni balaa huwa naunganisha device tano bila tabu yyote
5. Network yenye nguvu mnoo, nadaka 4g hata nikiwa porini au baharini
Madhaifu;
6. Haina fast charge
7. Ina laini mbili ila moja ndo 4g pekekee
 
Simu nzuri sana hasa
1. Charge inakaaa kiasi
2. 4g ya ukweli haswa
3. Display iko vema unaona hata kwenye jua kali
4. Hot spot ni balaa huwa naunganisha device tano bila tabu yyote
5. Network yenye nguvu mnoo, nadaka 4g hata nikiwa porini au baharini
Madhaifu;
6. Haina fast charge
7. Ina laini mbili ila moja ndo 4g pekekee
1.Kama ni tigo kitochi naweza kutumia line ya tigo na Hallotel?(Namasnisha naweza kutumia line yoyote?)
2.Ina stack sana wakati wa kubrowse?
 
Kwa walionunua hizi simu kwa siku za hivi karibuni na Chief-Mkwawa kuna lolote zuri limeongezeka kwenye simu za tigo kitochi kama vile update ya operating system na kadhalika?
Sijatumia kai os mda sana ila browsing ni kimeo, ipo ucbrowser store sema haifungui website zote.
 
Hivi mkuu kwa sasa hivi mbadala wa hivi vitochi kwa maana ya perfomance na bei ni simu gani?
Simu used mkuu, mfano Samsung galaxy grand prime za zamani sana unaweza ukaiotea sehemu bei nzuri chini ya laki.

Simu nyingi za 2014 zina 4G na bei zake zimeshuka sana.

Hakikisha tu band 3, 7 na 20 zipo ili upate 4G mitandao mikubwa na band 40 kama una matumaini na TTCL.
 
Simu used mkuu, mfano Samsung galaxy grand prime za zamani sana unaweza ukaiotea sehemu bei nzuri chini ya laki.

Simu nyingi za 2014 zina 4G na bei zake zimeshuka sana.

Hakikisha tu band 3, 7 na 20 zipo ili upate 4G mitandao mikubwa na band 40 kama una matumaini na TTCL.
Hizi simu used huwa zinapatikana kwenye machimbo gani mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom