Bonge moja la point

Progo anatuma video yupo bakhmut anatuma chupa za mvinyo kwa wamama wa ukraine. Kama wao FBI hawana uwezo wa kwenda kumkamata wanataka nani aende!? Nani mwenye uwezo kuwazidi wao!?
 
Huu ni ushenzi aliofanya Marekani duniani...lakini Kuna washenzi wanamshabikia na kumuona mtakatifu... Wakamatwe kwanza Hawa..au waendelee kunyooshwa na mwamba Putin
 

Attachments

Kama ndio hivyo hata wao (Wagner) wanapata hasara kubwa sana ya vifo.
 
Nimemueleza huyu dogo Nkuba25 anaesagwa ni Wagner na sio UA kama anavodai.

Hao wagner walikuja na tactic ya kuja vikundi vikundi wengi wanapigwa mpaka unachoka yani ni kama yale ma vietnam kwenye movie.
Kwa hiyo Ukraine wanawaua sana Wagner PMC. Lakini hapo hapo, Wagner PMC wanazidi kuchukua maeneo na Ukraine wanakimbia.

Yaani wewe ndiye unampiga adui, lakini wewe ndiye unakimbia.

Je, jambo ili linawezekana vipi mkuu.
 
Foreign oil and gas giants suffer losses after abandoning projects in Russia.

The withdrawal of foreign companies from Russia is causing the collapse of production, supply chains, and trade relations. However, the whole story is a double-edged sword. Western companies also have to say goodbye to some of their revenues.

British Petroleum lost the most when it lost its joint venture investment in Kharampurneftegaz, where it held half the shares. The British company also had one-fifth of each of the assets in Rosneft and Taas-Yuryakh Neftegazodobycha. So far, British Petroleum has not succeeded in getting government commission approval to sell its stake in Rosneft.

In second place is TotalEnergies, whose losses have only widened through 2022 after it pulled out of the Arctic LNG 2 project. However, the company refused to part with its main equity investment in Novatek. The French have renamed themselves Top Lubricants and are preparing to unfreeze oil production under the Lemarc brand.

Wintershall Dea has left our country, although it clung to its joint ventures with Gazprom—Severneftegazprom, Achimgaz, and Severniye Potoki—for a very long time. Half of the company's production came from Russia.

Shell's assets in Salym Petroleum went to Gazprom. The Russian company even ensured that Shell did not have the right to buy its shares back. As for Sakhalin-2, only Novatek can claim shares in the British company as required by the Russian government.

ExxonMobil is the only company whose losses have not increased over the past year. However, the Americans have yet to pay ₽15.5 billion in tax arrears on Sakhalin-1. The Russian government is still likely to make sure that the foreign firm withdraws from the project on as unfavorable terms as possible.

Norwegian Equinor has left the Russian market relatively quietly, transferring its stakes in JVs Angara Oil and SevKomNefteGas to its partners Rosneft and Zarubezhneft.
 
The rejection of Russian gas was a great stress for Germany.

Germany has only now recognized the severity of the consequences of the refusal of gas from Russia. Jörg Kukis, the German chancellor's assistant for economic affairs, said it was very difficult to replace it.

👔 And just a couple of days ago, Scholz was convincing himself that Germany had supposedly easily survived the withdrawal of gas from Russia.
 
Super power wa mchongo

The United States is experiencing a catastrophic shortage of artillery ammunition.

📝 "It may take up to 6 years to replenish the reserves of 155-millimeter artillery shells, subject to a momentary cessation of military assistance to Ukraine," writes the American Conservative.

▪️ The publication clarifies that the United States has already sent more than 30% of its stocks of Javelin complexes (8.5 thousand pieces) to Ukraine, despite the fact that only 400 units are produced per month.
 
Kwa hiyo Ukraine wanawaua sana Wagner PMC. Lakini hapo hapo, Wagner PMC wanazidi kuchukua maeneo na Ukraine wanakimbia.

Yaani wewe ndiye unampiga adui, lakini wewe ndiye unakimbia.

Je, jambo ili linawezekana vipi mkuu.
Inawezekana kuwa na many casuality na little gain ndiyo hii kama umeshawahi sikia. Yani wanakufa wengi zaidi halafu gain ni kidogo.

Ndomana unaona Wagner tangu week 2 zilizopita wanahangaika na Bakhmut.

Hao Ukraine wanakufa kidogo lakin wana retreat wapate position nzuri ya ku attack siku za mbele. Hivyo inawezekana acha kuwa na fikra finyu.
 
Unaongeleaje hizo losses
 

Attachments

  • 20230308_204606.png
    40.7 KB · Views: 5
  • 20230308_204622.png
    31 KB · Views: 6
  • 20230308_204640.png
    19.3 KB · Views: 6
Kweli urusi inaogopeka kila kukicha watu wanajitetea balaa halaf mzee mzima kauchuna tu!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…