Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,363
- 176,188
kada hii ya maigizo hainaga mwenyewe ila mie mwenzio yalinishinda nmebaki natoa macho tu,,,,,,,maana mtu anasikia utamu eti anaanza kulia utafikili kapigwa vile mie natoa nduki uchuro peleka huko huko....
njooo kichochoroni kwetu nikunongoneze bonge la surplise,,,,,,,
Hahahaaaaa!! Lazima alie maana ili nawe ujipe moyo umemkoleza bila hivyo walet utafunguaje sasa.
Nipe hiyo suprise aiseee maana ninavyopenda masuprise sasa.