Hivi na wewe unakuwaga na genye?
Mi nakuonaga umezidi ukauzu sana
Au genye hazina bingwa?
Hivi na wewe unakuwaga na genye?
Mi nakuonaga umezidi ukauzu sana
Au genye hazina bingwa?
Habari zenu,
Natambua na kuheshimu ndoa za watu humu jamvini, najuwa kunawale walioweka ndani kama mimi na kuna wale walio kwenye uchumba. Hapa itakuwa ni sehemu sahihi kwa watu kupeana ufundi na manjonjo ya kimahaba.
Lakini ni ifikapo usiku kuanzia saa moja na kuendelea. Mke wangu charty najuwa upo safarini huko USA lakini hapa ndipo sehemu pekee unaweza kunipata na tukaliwazana.
Onyo: Ni marufuku kuongea kimahaba na mke/mme wa mtu, mchumba inaruhusiwa hata kutongoza sio kosa.
Karibuni watu wa mahaba niuwe
Mimi ni kijana wa miaka 30 natafuta mchumba humu ndani awe mkristo.na tabia njema pia awe na umri usiozidi miaka 24.mimi ni lecture wa chuo kimoja hapa tz.pia ni muhaya naejua mapenzi hususani cta kwa cta c mnajua mambo ya katerero ni hayo tu.mwenye cfa anipm.asanteni
Hiyo id yako tu inaogopesha mwenzangu, usijekula jicho watoto wa wenzio.
Nitakua hapa mwl wa mahaba niue.
Mkuu kuna dada mke wa mtu kaniteka sana, sijui nifanyeje ili nimwepuke?
Hebu jifunze suprise HUG unamkumbatia kwa mgongoni unazpisishia mikono katikati ya mikono yake then kwa mbele ipandishe na viganja vitouch maziwa hata kama ni me , then unaleta lipsi kwa shavu unaanza na mwaaa then ita jina mf: mamndenyi, mo11, miss chaga, preta, viol, tarime one, nifah mpeenz, darrrling, mme/mke wangu nakupenda sana umpe sekunde 38 hiv usiongee chochote then uone response
Were in lecture au lecturer????
Mimi ni kijana wa miaka 30 natafuta mchumba humu ndani awe mkristo.na tabia njema pia awe na umri usiozidi miaka 24.mimi ni lecture wa chuo kimoja hapa tz.pia ni muhaya naejua mapenzi hususani cta kwa cta c mnajua mambo ya katerero ni hayo tu.mwenye cfa anipm.asanteni
mnatunyeg.......sha tu.....gnyt
ngoja nikumbatie mto
Shetan
nisamehe bure kipenzi kuna mtu atakua ame..hack account yangu..kwani jlw ni wapii mbona sipajui my pumkin...bae nobody bou u!!!my kibo 10 punguza hasira swrHalafu nina kesi na wewe kule JLW unaendaga kufanya nini?
Kama ni genye mbona nakusugua kila siku?
Katerero nakupiga mpaka unatowa chozi
Au unataka nikushitaki kwa wazeee
masai dada Ameniambia hukutana na wewe mara kwa mara hukonisamehe bure kipenzi kuna mtu atakua ame..hack account yangu..kwani jlw ni wapii mbona sipajui my pumkin...bae nobody bou u!!!my kibo 10 punguza hasira swr
masai dada Ameniambia hukutana na wewe mara kwa mara huko
Sasa ngoja aje hapa kama ni umbea ulikuwa unamsumbua na kunitamani baada ya kujuwa mimi ni fundi wako
Tena kaniambia ukiwa kule JLW unakumbatia kumbatia kila mtu mpaka malodi lofa kama grafani11
masai dada Ameniambia hukutana na wewe mara kwa mara huko
Sasa ngoja aje hapa kama ni umbea ulikuwa unamsumbua na kunitamani baada ya kujuwa mimi ni fundi wako
Tena kaniambia ukiwa kule JLW unakumbatia kumbatia kila mtu mpaka malodi lofa kama grafani11
kaongo sana haka ka binti...masai dada nikalie pembeni usije nivulia ndoa...mwenzio ndoa tamu eh...mume mtamu we bintii unikome sip jlw...hahah
chuma cha reli kumbe na huku unafikaga, mbona hujafunguka sasa?