Special Thread: Usiku wa mahaba

Special Thread: Usiku wa mahaba

usinizungushe bana ninavyokupenda sio vizuri kunizungusha. love you my diva

Mweeeeh kweli huu usiku wa mahaba, mi nilijuaga ushajikatia tamaa kumbe bado umo tu!!
 
haya mahaba ya usiku tu,::ukifika asubuhi ni mwendo wa michepuko
 
Kaka islets hujambo mkuu, pole na majukumu ya ujenzi wa taifa
 
mimi ni kijana wa miaka 30 natafuta mchumba humu ndani awe mkristo.na tabia njema pia awe na umri usiozidi miaka 24.mimi ni lecture wa chuo kimoja hapa tz.pia ni muhaya naejua mapenzi hususani cta kwa cta c mnajua mambo ya katerero ni hayo tu.mwenye cfa anipm.asanteni

Were in lecture au lecturer????
 
Mweeeeh kweli huu usiku wa mahaba, mi nilijuaga ushajikatia tamaa kumbe bado umo tu!!
atoto nina mahaba ya kweli na ya dhati siwezi kukata tamaa. naamini siku moja utakuwa wa kwangu.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom