Special Thread to learn HTML, CSS and JAVACRIPT (Web Development) by Binadamu Mtakatifu

Habari Wanajamvi baada ya kukaa na kufikiria nilipitia nyuzi nyingi zinazo husiana na web development ila sikupata nilicho hitaji.

Kwenye huu uzi nitafundisha HTML, CSS na JAVASCRIPT kwa lugha isiyo sanifu na fupi kufanya kueleweka sana.

Pia Uzi huu utumike kama mahala pa kuuliza chochote kuhusu webdevelopment iwe error kwenye codes na vingine.

Ikiwa unaproject au chochote zaidi unahitaji kushare kari ujiunge hapa.

TechTalk

Basi nitaanza na Utangulizi juu ya HTML ,CSS na JAVASCRIPT chapchap kwa lugha nyepesi.

Tukianza kwa HTML kirefu chake ni "Hyper text markup language" Hii sio programming language bali ni Markup Language hii ni kama mifupa ya website inayotengeneza structure nzima ya ukurasa wa tovuti yetu.

Tovuti ni muunganiko wa kurasa tofauti tofauti za HTML ndani ya HTML tunaweza kuingiza codes nyingne kama CSS na JAVASCRIPT.

CSS kirefu chake ni "Cascanding Style steet" Hii tunaweza fananisha na kuweka ngozi na rangi rangi yaani kustylesh page zetu ili kufanya page kupendeza.

Mfano : Binaadamu Mifupa nilisema ni HTML nikaja nikaweka CSS nikama kuweka Ngozi nywele kucha na kumpaka markup ili apendeze yaani ni kuarrage na kuvipa muonekano gat au ellement za HTML.

JAVASCRIPT hii sasa ni programming language hapa tutaweza kutengeneza Functions kwenye page zetu hata pia kuunda cookies
Kwenye Mwili wa Binaadamu ninaweza sema ni kama Misuli.

Mpaka hapo unamwanga ngoja nivute pumzi alafu ninakuja kuanza rasmi na HTML leoleo.

Utangulizi jinsi ya kudownload na kuinstall mahala pa kuandika codes

1.Html Somo la 1

2.Html somo la 2
Be blessed!
 
Haya waungwana poleni kwa kungoja leo tunaendelea na hii short coz yetu leo ningependa kuzungumzia baadhi ya tag za html ambazo sikuzingusia hapo awali ili iwe rahisi na kufupisha baadhi ya vitu hivi
Zifuatazo ni tag ambazo tunaweza kuzitumia

1.<header> : Hii huelezea kwamba hiki ni kichwa cha mahudhui

2.<span> : Hutumika kuongeza Css ndani ya content ya tag nyingine , tutaona mfano hapo mbeleni

3.<li>: Hii inamaanisha unaweka orodha yaani list ndani ya html tag hii huwa na watoto wawili ambao ni <ol>: Inamaanisha orderd list(orodha ambayo imepagwa kuanzia 1 na kuendelea) , <ul> : Inamaana ya unoederd list (yaani orodha haijapagwa na huana nukta mwanzoni)

4.<marquee> : Hii hufanya text zisogee kutoka kulia kuja kushoto"ila unaweza kutumia css kubadili muelekeo wa maandishi.

5.<div> : Hii hutumika kujumuisha tag tofauti ili kuweza kutumia script au css moja kwa zote (samahani nimekosa kiswahili kizuri ila mbele tutaelewana)

6.<center>: Hufanya content zote za tag kuonekana katikati katika device ya mtu

7.<footer> : Ni tag la ungo la chini kabisa katika webpage

8.<img>: Hutumika kuadd picha katika page

9.<a>: Hutumika kuadd link

HOMWORK TAFUTENI TAG AMBAZO SIJAZIWEKA

NINAANDAA CODES NA NINAWEKA LEOLEO NIKIJUMUISHA TAG ZOTE TAJWA HAPO JUU
 
Haya waungwana poleni kwa kungoja leo tunaendelea na hii short coz yetu leo ningependa kuzungumzia baadhi ya tag za html ambazo sikuzingusia hapo awali ili iwe rahisi na kufupisha baadhi ya vitu hivi
Zifuatazo ni tag ambazo tunaweza kuzitumia

1.<header> : Hii huelezea kwamba hiki ni kichwa cha mahudhui

2.<span> : Hutumika kuongeza Css ndani ya content ya tag nyingine , tutaona mfano hapo mbeleni

3.<li>: Hii inamaanisha unaweka orodha yaani list ndani ya html tag hii huwa na watoto wawili ambao ni <ol>: Inamaanisha orderd list(orodha ambayo imepagwa kuanzia 1 na kuendelea) , <ul> : Inamaana ya unoederd list (yaani orodha haijapagwa na huana nukta mwanzoni)

4.<marquee> : Hii hufanya text zisogee kutoka kulia kuja kushoto"ila unaweza kutumia css kubadili muelekeo wa maandishi.

5.<div> : Hii hutumika kujumuisha tag tofauti ili kuweza kutumia script au css moja kwa zote (samahani nimekosa kiswahili kizuri ila mbele tutaelewana)

6.<center>: Hufanya content zote za tag kuonekana katikati katika device ya mtu

7.<footer> : Ni tag la ungo la chini kabisa katika webpage

8.<img>: Hutumika kuadd picha katika page

9.<a>: Hutumika kuadd link

HOMWORK TAFUTENI TAG AMBAZO SIJAZIWEKA

NINAANDAA CODES NA NINAWEKA LEOLEO NIKIJUMUISHA TAG ZOTE TAJWA HAPO JUU
Poa , thanks. Leta codes brother
 
Haya waungwana poleni kwa kungoja leo tunaendelea na hii short coz yetu leo ningependa kuzungumzia baadhi ya tag za html ambazo sikuzingusia hapo awali ili iwe rahisi na kufupisha baadhi ya vitu hivi
Zifuatazo ni tag ambazo tunaweza kuzitumia

1.<header> : Hii huelezea kwamba hiki ni kichwa cha mahudhui

2.<span> : Hutumika kuongeza Css ndani ya content ya tag nyingine , tutaona mfano hapo mbeleni

3.<li>: Hii inamaanisha unaweka orodha yaani list ndani ya html tag hii huwa na watoto wawili ambao ni <ol>: Inamaanisha orderd list(orodha ambayo imepagwa kuanzia 1 na kuendelea) , <ul> : Inamaana ya unoederd list (yaani orodha haijapagwa na huana nukta mwanzoni)

4.<marquee> : Hii hufanya text zisogee kutoka kulia kuja kushoto"ila unaweza kutumia css kubadili muelekeo wa maandishi.

5.<div> : Hii hutumika kujumuisha tag tofauti ili kuweza kutumia script au css moja kwa zote (samahani nimekosa kiswahili kizuri ila mbele tutaelewana)

6.<center>: Hufanya content zote za tag kuonekana katikati katika device ya mtu

7.<footer> : Ni tag la ungo la chini kabisa katika webpage

8.<img>: Hutumika kuadd picha katika page

9.<a>: Hutumika kuadd link

HOMWORK TAFUTENI TAG AMBAZO SIJAZIWEKA

NINAANDAA CODES NA NINAWEKA LEOLEO NIKIJUMUISHA TAG ZOTE TAJWA HAPO JUU
<nav> </nav>
<button></button>
<hr></hr>
<form></form>
 
Jamani tafadhali mwenye kufahamu hivi vitabu hapa Tanzania vipo?

Kama vipo ningependa kuja huwa vina-range kwenye bei gani?
 

Attachments

  • 41VSIpPMJQS._AC_SY350_.jpg
    41VSIpPMJQS._AC_SY350_.jpg
    13.7 KB · Views: 25
  • 417bo-mCoBL._AC_SY350_.jpg
    417bo-mCoBL._AC_SY350_.jpg
    13.4 KB · Views: 28
  • 31b4K-hFH-L._AC_SY780_.jpg
    31b4K-hFH-L._AC_SY780_.jpg
    9.2 KB · Views: 28
  • 41X2i47NXUL._AC_SY780_.jpg
    41X2i47NXUL._AC_SY780_.jpg
    15 KB · Views: 27
Uko kama mimi bro one day nitafundisha wengine hapa hapa kwenye jamii forum ee mungu nisaidie..
 
Habari naomba kuuliza hivi short course gani itakayoniwezesha kujifunza kuhusu network. I mean computer network.
Na inatolewa wapi.

Note: sikusoma IT but Niko interested na mambo ya computer network.
 
Back
Top Bottom