Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Watanzania ni akina nani?
Mbona sisi tulio wengi chaguo letu ni Lowassa?
Au wewe na hao ambao hamumtaki Lowassa ni Watanzania wa wapi? Huku mitaa ya Tanzania jina kuu ni Lowassa, Lowassa!!!!!!!!!
Mimi, mke wangu na watoto wangu kura zetu zote ni kwa Lowassa!
Kwakweli sisi katika kikundi chetu hapa kazini kila mtu ni magufuli .hapa kazi tu