MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
MACCM ni sawa na Mashetani!Sema familia yangu tunamtaka sio watanzania mnamtaka, Hivi huyu na alichokisema jana kwa walutheri eti tanga tanzania iumbwe hawajawah pata rais mlutheri...yaan anatupeleka kwenye udini
Hata Mpakaze ujinga wenu vipi! Sisi tuko na LOWASSA, Hata mseme vipi! Lowassa lazima awe Rais wa awamu ya tano! La sivyo tutaelezana ilikuwaje LOWASSA akashindwa, ilhali Watannzania wote tunamkubali!