Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 20,994
hahaaaa. long after you said this nimewasikia na wachambuzi hapa wanasema di maria wakati anaumia was running like a headless chicken.Di Maria mchezaji mzuri sana isipokuwa huwa anapoteza sana mipira na anakimbia kama kuku aliyekatwa kichwa...
Kwa kasi yake ile alipaswa awe winga mkali kama Overmars, Robben, Giggs, Bale (wa Tottenham)...