Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

Hmmmm! unatumia dawa zipi kutibu watakaoumizwa? Na wewe ukiumizwa unaye wa kukutibu? au unaweza kunipa dawa zako nikutibu?

Nipo hapa kuwatibu wote mtakaoumizwa, kama ambavyo nimekuwa nikitoa Tiba lazima kazi yangu itimie Leo.....
 
Aisee! Huyu jirani nuksi kweli yaani, eti ndio anafungua mlango saivi. Nimekosa nini, Kirikuu ndio kaingia nini? Naona 0-0.
 
Vidal anarudi uwanjani...

Argentina: Aguero nje, Higuain ndani

Chile: Valdivia nje, Fernandez ndani
 
Back
Top Bottom