FT
Arg 1 - 0 Uru
Argentina leo wamecheza kizemb mno...
Sijui uzembe au vipi lakini mimi naona huku Latin America wanaujua mpira haswaa na wanajua kukabiliana ipasavyo yaani kutabiri matokeo ni ngumu,mimi nilianza kukata tamaa kabisa nikasema sasa BAK anipokee mikono miwili Brazil...... Lakini hata Brazil kwa juzi walivyocheza sijui.... Yaani huku wanajuana sana hakuna cha nani wala nani.
![]()
2 games, 0 assists, 0 goal...oops my bad, 1 goal. I thought i heard somebody saying penalties don't count, was it you Herrera? Haha, anyway, i thought "a player off this planet" should be on a double stats by now, no??
Hiyo sayari nyingine ambayo huwa watu wanaiomgelea ni AMERICA KUSINI.
mechi ya jana nilicheki dakika 44 za kwanza. japo messi hakufunga ila alicheza kandanda safi sana. macommentator wanasema marefa wa amerika kusini hawawalindi wa chezaji. pengine ndiyo sababu mastaa wa ulaya wanashindwa kuwika.Hiyo sayari nyingine ambayo huwa watu wanaiomgelea ni AMERICA KUSINI.
![]()
2 games, 0 assists, 0 goal...oops my bad, 1 goal. I thought i heard somebody saying penalties don't count, was it you Herrera? Haha, anyway, i thought "a player off this planet" should be on a double stats by now, no??