Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

Kun Aguero ni shida...

Hiki kimtu nakipenda sana kwenye kumalizia mipira kama ile...

Yaani huwa anafanya inavyotakiwa anajua kuitumia vizuri nafasi yake pale mbele, big up Aguero.
 
Yaani hapa kuna mechi kibao...

Huku Bein ni Argentina na Uruguay...

Fox ni World Cup finals za wamama...

abc nako finals za NBA...

Hapa inabidi wamama niwapige chini...waliobaki watazamwe kwa kupokezana
 
Ukihama huku na kule hata uhondo unaokosa, mie ngoja "nitulie" kwenye US Vs Nigeria na game 6 ya NBA Finals.

Yaani hapa kuna mechi kibao...

Huku Bein ni Argentina na Uruguay...

Fox ni World Cup finals za wamama...

abc nako finals za NBA...

Hapa inabidi wamama niwapige chini...waliobaki watazamwe kwa kupokezana
 
Kweli hii ni derby full kupigana vikumbo..... Ila watulie mtu anaweza kula red.
 
Yaani hapa kuna mechi kibao...

Huku Bein ni Argentina na Uruguay...

Fox ni World Cup finals za wamama...

abc nako finals za NBA...

Hapa inabidi wamama niwapige chini...waliobaki watazamwe kwa kupokezana

Ai wewe!! Hujatutendea haki tamu yako!!.....bora BAK utuunge mkono mimi nastik na hawa hawa vidume.... Lol
 
Last edited by a moderator:
Ukihama huku na kule hata uhondo unaokosa, mie ngoja "nitulie" kwenye US Vs Nigeria na game 6 ya NBA Finals.

Wamama wa Kiafrika wamenikera especially Ivory Coast na hawa Naija...

Leo kidogo Cameroun wamenifurahisha walivyowakimbiza Uswisi...
 
Wanaija pamoja na kuwa wako down lakini wanajitahidi sana, USA ni timu nzuri sana.

Wamama wa Kiafrika wamenikera especially Ivory Coast na hawa Naija...

Leo kidogo Cameroun wamenifurahisha walivyowakimbiza Uswisi...
 
Back
Top Bottom