Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

Plan ZERO lol! hahahahahaha hii ni bab kubwa ni lazima uzuke tu mtaani, there is no any other option.

Hahahhahhah!!! Leo ni plan c....eeh! Na wewe unatumia plan ipi?
 
Plan ZERO lol! hahahahahaha hii ni bab kubwa ni lazima uzuke tu mtaani, there is no any other option.


Hahaha!! Unatumia ubabe siyo eeh? Ungekuwa na mwanamke anayecheza kama position yangu ya mshambuliaji mkabaji 😀😀😀 ungekoma na hiyo plan zero yako....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hahahahahaha lol! umenichekesha sana, sikusema natumia ubabe nimekwambia plan ZERO lol! hahahahaha, plan ZERO haihusu kabisa ubabe 🙂🙂

Hahaha!! Unatumia ubabe siyo eeh? Ungekuwa na mwanamke anayecheza kama position yangu ya mshambuliaji mkabaji 😀😀😀 ungekoma na hiyo plan zero yako....
 
Hahahahahaha lol! umenichekesha sana, sikusema natumia ubabe nimekwambia plan ZERO lol! hahahahaha, plan ZERO haihusu kabisa ubabe 🙂🙂

Ngoja niishie hapa nitakupata mahali na utadefine plan Zero,features of plan Zero, function, advantages and disadvantages,kisha utatoa Conclusion....hahahaha nitakuwa lecturer wako kwa muda.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
BAK leo mechi saa ngapi nifanye yangu mapema
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Dah! unataka kunirudisha shule tena somo gumu sana hili lol! hahahahaha...itabidi nishinde library kuanza kuchimba ili kuhakikisha huu mtihani naondoka na msonge plus 🙂🙂....eti lecture wangu kwa muda lol! hahahahaha utavaa dera au kimini!?

Ngoja niishie hapa nitakupata mahali na utadefine plan Zero,features of plan Zero, function, advantages and disadvantages,kisha utatoa Conclusion....hahahaha nitakuwa lecturer wako kwa muda.
 
CC: everlenk, ahsante sana Mkuu Paulo Sergio De Souz kwa hii ratiba

B3Pwe3hIQAAh__z.png
 
Last edited by a moderator:
Naona washabiki mmebaki wawili tu ... ..... ... .... .... .... wekeni video link chacha ... ... ..khe khe khe he khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Aisee nakosa hizi game...dah!namiss sana soka kipindi hiki...nawashukuru kwa kutupa update hapa wadau...mdau paulo de souz na mtani wa jadi everlenk na wengine...
 
Naona washabiki mmebaki wawili tu ... ..... ... .... .... .... wekeni video link chacha ... ... ..khe khe khe he khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Hadi huku una fujo eee!! Unafikiri kungoja mechi mpaka saa 8 usiku unafikiri mchezo Wacha kwa raha zetu tupeane mahabati!!!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Dah! unataka kunirudisha shule tena somo gumu sana hili lol! hahahahaha...itabidi nishinde library kuanza kuchimba ili kuhakikisha huu mtihani naondoka na msonge plus 🙂🙂....eti lecture wangu kwa muda lol! hahahahaha utavaa dera au kimini!?

Ili somo likuingie nitavaa kimini .....lol
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom