Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

Watu8 leo sikuoni......au unasubir ya Brazil?
 
Last edited by a moderator:
Na michepuko inaweza ikapendwa zaidi, hivyo nisishangae kuona #TeamBARCA au #TeamArgentina zinapewa vipaumbele kuliko #TeamMANU na #TeamBrazil, si ndiyo? au nimekosea?

Naona sasahivi umekuwa mpana sana nitakodi matarumbeta sasa😀😀😀..... Iam Red....michepuko ruksa..... Nalipenda soka la Hispania na Italy ndo maana utaniona nazurura huko.........
 
Ospina anafanya kazi ya ziada hapa.
 
Fagilia na Gunners basi!! Good save Ospina.....cc BAK
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
colombia-vs-venezuela-hinchas_4z2a3vyjlh3v11xqmbzaw9kt8.jpg
 
Na michepuko inaweza ikapendwa zaidi, hivyo nisishangae kuona #TeamBARCA au #TeamArgentina zinapewa vipaumbele kuliko #TeamMANU na #TeamBrazil, si ndiyo? au nimekosea?

Hhahahh!!! Usinishike ugoni best yangu....tunachepuka kupata faraja hasa pale njia kuu inaposhindwa kukupatia kitu roho inapenda........... Usinihukumu hapa tafadhali na ukatafuta sbb zako...lol
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Msituumizie mtoto wa jirani yetu wababe wa EPL 014|015.....Cuadrado
 
Haya naomba sana kwenye hii COPA America Brazil wakipige na Argentina na kwenye UEFA msimu ujao BARCA wapangwe na MANU kundi moja. Mie wala sitatia neno nitakuangalia tu LOL!

Hhahahh!!! Usinishike ugoni best yangu....tunachepuka kupata faraja hasa pale njia kuu inaposhindwa kukupatia kitu roho inapenda........... Usinihukumu hapa tafadhali na ukatafuta sbb zako...lol
 
Haya naomba sana kwenye hii COPA America Brazil wakipige na Argentina na kwenye UEFA msimu ujao BARCA wapangwe na MANU kundi moja. Mie wala sitatia neno nitakuangalia tu LOL!

Yaani huku ndo ombi langu fainal iwe ni kati ya Brazil na Argentina........ pierre tall huu ndo utabir wangu.

Manu na Barca subiri tufanye usajili nitakujibu.... Japokuwa ni mchepuko wangu lakini Nina hasira nao acha tu,nadhani mim ni miongoni mwa MU fans wachache sana wanaoipenda Barca.
 
Last edited by a moderator:
Usajili upi hapa unaozungumzia wa BARCA, MANU au wa timu zote mbili?

Yaani huku ndo ombi langu fainal iwe ni kati ya Brazil na Argentina........ pierre tall huu ndo utabir wangu.

Manu na Barca subiri tufanye usajili nitakujibu
.... Japokuwa ni mchepuko wangu lakini Nina hasira nao acha tu,nadhani mim ni miongoni mwa MU fans wachache sana wanaoipenda Barca.
 
Back
Top Bottom