Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
[video=vimeo;127675403]https://vimeo.com/[/video]
Tutakuwa pamoja, leo sijacheki ratiba naomba ratiba nani na nani?
Mechi ya pili ya kundi A
Mexico vs Bolivia
Itakuwa ni saa 0230am (saa 8 unusu usiku kwa majira ya Tanzania)...
Ukifanikiwa kutazama utaweza kuliona jembe la zamani la Barca Rafael Marques akimalizia malizia mpira wake katika timu yake ya taifa ya Mexico...
Asante sana leo nitajitahidi nimtoroke nyambala ........naona wengi wanaisifia Mexico ngoja nione uzuri wao......
Sikujua kama waijua hii lugha...
Mexico sio wazuri sana maana timu yao ina wachezaji wengi vijana na wapya...
Nimewaona mechi zao mbili za mwisho za kirafiki sijaona wakicheza vizuri sana...
Labda uwepo wa Chicharito leo hii utaleta utofauti maana mechi za kirafiki hakuwa akicheza...
Nina asili ya huko pia.....
Kumbe!! Basi ngoja tuone kama ataleta mabadiliko, ikifika saa 8 na nusu niite kwa sauti kubwa mpaka niitike.
Vipi nawe umelala? Nazifaid hizi dk 15 za mwishoni kitu bila bila.....
Asante sana, EAT itakuwa ni muda gani?
Asante sana, EAT itakuwa ni muda gani?
sorry nimechelewa kuiona hii, game ya kwanza ndio imeanza. CAT + 1.
Asante sana, tupo pamoja mwaga updates .... BAK ukuje huku basi Uzi upendeze... Watu8 sikuoni leo? chebi wapi hiyo? Ziroseventytwo leo ni mapema njoo tucheki game au mambo ya weekend?