11.30pm EAT
Aisee nakosa hizi game...dah!namiss sana soka kipindi hiki...nawashukuru kwa kutupa update hapa wadau...mdau paulo de souz na mtani wa jadi everlenk na wengine...
Ya leo imekaa fresh hapa tutapiga deshi kisha tutaamka na BBC tupate habari za dunia....lol
yaani sijui niseme uko lavel moja na mii au nimekuzidi manake wifi yako hapa toka alikua anaongea mpaka saivi kaamua kunyamaza hakuna gem inayochezwa nisiiyone ila kama ikitokezea mda sawa hii kitu imesha niingia katika mishipa ya damu waswahili walisema hiyari hushinda utumwa si uwongo.Huwa anatulizwa kabla na chake kabisaa....yaani km ni ulevi nikiri wazi nishakuwa teja la soka.....
tuwachie ever wetu na barca yetu alishajua chama la kuja ndo maana hajutiiShouts out kwa everlenk bana, zaidi ya Rhiannon Jones na Kay Murray sidhani kama kuna mwanamama ana uchizi wa soka kukuzidi. Halafu sio blonde, maana mwingine angeshauliza 'Cristiano anacheza lini?'
Itabidi tukuvute Madrid.
tuwachie ever wetu na barca yetu alishajua chama la kuja ndo maana hajutii
tuwachie ever wetu na barca yetu alishajua chama la kuja ndo maana hajutii
Shouts out kwa everlenk bana, zaidi ya Rhiannon Jones na Kay Murray sidhani kama kuna mwanamama ana uchizi wa soka kukuzidi. Halafu sio blonde, maana mwingine angeshauliza 'Cristiano anacheza lini?'
Itabidi tukuvute Madrid.
Asante sana bro......nami niwashukuru ninyi wote humu kwa kampani yenu bila ninyi sijui ingekuwaje mnanifanya niupende mpira zaidi na zaidi....
Hongera everlenk kwa kuamua kuwatema MANU na kusajili BARCA, bado ombi la kusajili na Gunners lipo pale pale maana mapenzi yako ya soka yalianzia Gunners, baada ya kuona hakuna makombe ndiyo ukatukimbia 🙂🙂...Makombe yameanza kurudi taratibu na msimu ujao kutakuwepo na treble 🙂🙂 kwa mara ya kwanza baada ya miaka mingi, karibu sana nyumbani Gunners.