bashite kaya
Senior Member
- Jan 15, 2018
- 128
- 50
kibahaUpo chuo gan mkuu
kibahaUpo chuo gan mkuu
Umeongea vizuri mkuu, wanaweza pia kucheki prosthetics and orthotics ile kozi ya viungo bandiaNashauri mkasome diploma za mionzi (diagnostic) na maabara
Hizi ni rahisi kupata michongo mjini hapa kuliko maCO ambao kwanza wapo wengi na kaka zao MD wapo wengi pia na wanafanya kasi hadi kwa laki sita saba
Ukiwa radiographer unaweza kuwa na vijiwe hata vitatu kote unakula pesa
Tusifuate mkumbo tu was kuitwa daktari,tuangalie wapi soko linatupeleka
Kweli kabisa, hayo ndio yaliyonikuta mimi mwenzenu.Kila la heri ila ukumbuke kiwango cha chini cha ufaulu wa kusomea digrii ya udaktari ni Physics D, Chemistry C na Biology C!! Kwa A level C inaanzia marks 60 hadi 69 na D inaanzia marks 50 hadi 59! Mwulize mwanafunzi aliyeko A level akueleze wepesi au ugumu wa kufikisha marks hizo!! Wengi waliokuwa na one au two zao za O level huishia D mbili na S moja kisha hurudi kugombania u CO baada ya kupoteza miaka 2 ya A level!
Sikutishi ila nakupa hali halisi ili ujipange vizuri na uamue kusuka au kunyoa!!
Hapo application wameshanza kupokea? Nahitaji kufahamu aisekibaha
Kuna possible ya kuhamia hapo Kibaha sem 2?hakuna bata uzingua unarudi kwenu semista one kuna masomo nane semista ya pili masomo sita mwaka wa pili yanakua matano kwahyo yanapungua ila mziki pale pale sikutushii ila ndo ukweli kwa mfano ukienda semista ya kwanza kuna microbiology, parasitology and entomology, epidemiology, biostatistics ana emergency , communication skills , resource management and entrepreneur , clinical nutrition, medical ethics , anatomy and physiology nadhani izo modules kama cjakosea
Kubaha ni xhuo cha serikali amakibaha
Asante nimesha tumamaombi apa nasubilia majibu mkuuSaiv ni mda wa kufanya application kwa vyuo vya private wahi sasa kwan mwisho ni tar 10 mwez huu wanne
Utaisikia medicine kwenye bombaDah, mimi sitaki shortcut mkuu ngja tu niende Advance kwanza.
Kibaha ni chuo cha serikali ndugu?kibaha
Jiongeze, nenda NACTE admission guidebook kila kitu kimo humo! Yes ni chuo cha serikali... ushindani mkubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....Kibaha ni chuo cha serikali ndugu?
Vp kazi zipo kwasababu me nipo kilosa cotc namaliza mwaka huuMimi pia nampango wa kuomba mwaka huu ila nilisoma community health ya mwaka mmoja pare singida chuo cha maabara
Mi mpaka kupata wazo la kubadil koz kaz hakuna ndug toka nmemaliza 2016 mpka leooo Chws ni coz ya hovyo najuta hata kwanin nilipoteza muda wanguVp kazi zipo kwasababu me nipo kilosa cotc namaliza mwaka huu
Mkuuu umeongea ukweli kabisa unaweza ukajiona umetok o leval uko nondo vibays mno ila huo mlima aiseee uache tu tulio na experience tunaujua huu mziki ila kama unapenda kuonja sio mbaya unaweza ukaonja hata sumu ili badae unywe maziwa matamu kuondoa sumu Kali ulioionja ila njia sahihi ni shortcutKila la heri ila ukumbuke kiwango cha chini cha ufaulu wa kusomea digrii ya udaktari ni Physics D, Chemistry C na Biology C!! Kwa A level C inaanzia marks 60 hadi 69 na D inaanzia marks 50 hadi 59! Mwulize mwanafunzi aliyeko A level akueleze wepesi au ugumu wa kufikisha marks hizo!! Wengi waliokuwa na one au two zao za O level huishia D mbili na S moja kisha hurudi kugombania u CO baada ya kupoteza miaka 2 ya A level!
Sikutishi ila nakupa hali halisi ili ujipange vizuri na uamue kusuka au kunyoa!!
Mkuu kunawatu wanapambana sio kitoto tuna experience na hili ila mwisho wa siku mambo hua sio mambo mziki wa advance kwa miaka hii ya magufuli sio wakitoto lazima ugeuke Newton usahau hadi kuchamba unakunya huku unakula pindi chooni sio mchezo wajomba nendeni mkaonje sumu afu mje mrudi kunywa maziwaUkiamua kupambana inawezekana! Sahau ufaulu wa O-level! Kuna wenye three za O-level huibuka na one za A-level na wenye one za O-level huambulia three na wengine four za A-level! Kupambana ndo mpango mzima na usikivu na nidhamu na heshima kwa waalimu wako!