Special thread clinical officer 2018/2019

Special thread clinical officer 2018/2019

Kweli kabisa, hayo ndio yaliyonikuta mimi mwenzenu.
Mkuu Mimi Niko kama wewe napengine unaujua mziki wa somo ambalo wengi hudhani watachukua point tatu kama biology lakini ni rahisi kupata D ya chemistry sio biology ambayo ni almasi unacheka peke yako ukiipata D ya somo lolote kwenye combi yako
 
Nashauri mkasome diploma za mionzi (diagnostic) na maabara

Hizi ni rahisi kupata michongo mjini hapa kuliko maCO ambao kwanza wapo wengi na kaka zao MD wapo wengi pia na wanafanya kasi hadi kwa laki sita saba

Ukiwa radiographer unaweza kuwa na vijiwe hata vitatu kote unakula pesa

Tusifuate mkumbo tu was kuitwa daktari,tuangalie wapi soko linatupeleka
Umewashauri vyema mkuu, japokuwa wengi hawatakubaliana na wewe kutokana na mkumbo wa rafiki na familia zao na sio uhalisia wa mahitaji ya sasa.
 
Mkuu endapo MTU kafeli mathematics lakin masomo mengine kafaulu anaweza kujiunga na course ya clinical medicine hata kwa level ya certificate na kama hapana ni course gani nyengine ya afya anaweza jiunga ??
 
wadau dirisha la kuomba vyuo vya afya cheti bado lipo wazi??
 
Kwamba unaweza kusoma Pharmacy hata kama umefeli Mathematics?
Ndio unaweza maana kuwa na ufaulu wa mathematics ni sifa ya ziada tu ila sio core subject kwenye course za afya, ila pia ili upate nafasi itategemea na competition iliyopo endapo kama kutakuwa na wanafunzi wenye sifa kama zako ila wao wana pass ya mathe itabidi wao wapate wewe ukose maana wana sifa ya ziada

Somo ambalo ukikosa pass yake na ndoto za kusoma course za afya zimekufa jumla ni physics
 
chagueni private lakini msithubutu vyuo vya dar in ubabaishaji
 
Huu Uzi unaendelea baada ya Hawa form 6
Kupata matokeo yao mwezi wa 7/8

KWA ATAKAYE HITAJI ASISITE KUNI PM!..
Best wishes
 
Back
Top Bottom