Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Mipira inapotea sana, pasi hazifiki na zingine zinapitiliza.
 
Ule mpira Ivo hajatema,
utakuwa umeteleza maana angetema lazima ungerudi mbali kwa jinsi shuti
lilivyopigwa.

umeteleza na ukaenda mbali?, sawa, basi awe makini isimteleze mipira mingine, mana uwanjani kuna maji kidogo.
 
watu8 hebu tupe full list ya stars

Ivo Mapunda, Michael Pius, Erasto Nyoni, Said Morad, Kelvin Yondan, Frank Domayo, Hassan Dilunga, Amri Kiemba, Mrisho Ngasa, Thomas Ulimwengu na Mbwana Samatta.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom