CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 943
Full time:120mins!
Sud2-1Zam.
Sud2-1Zam.
Finally Zambia kalala...aisee nilitamani sana Sudan achomolewe
Full time:120mins!
Sud2-1Zam.
Game ya stas saa ngap wakuu?
Game ya stas saa ngap wakuu?
mkuu hii mechi hata haieleweki, kuna vyanzo vingine vinasema saa 12, vingine saa 12:30 na vingine saa moja, ila huenda kile cha saa moja kiko sahihi maana ni supersport, na hivyo vingine ni blog za michezo za hapa hapa nchini.
Mkuu hii mechi hata haieleweki, kuna vyanzo vingine vinasema saa 12, vingine saa 12:30 na vingine saa moja, ila huenda kile cha saa moja kiko sahihi maana ni supersport, na hivyo vingine ni blog za michezo za hapa hapa nchini.