Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Mkuu watu8 huyo Hasani Dilunga ndiye yule dogo aliyesajiliwa Yanga juzi juzi?
 
Last edited by a moderator:
Tushachapwa goli la kwanza...
 
Dk 5

Kili Stars 0 - 1 Kenya
 
Hawa mabeki vipi wanataka warudi na mzigo wa magoli nini?
 
mkuu, kama ivo akiendelea kutema mipira, itatughalimu, kwn kenya inaonekana wanajarbu sana mashuti.
Ule mpira Ivo hajatema, utakuwa umeteleza maana angetema lazima ungerudi mbali kwa jinsi shuti lilivyopigwa.
 
Back
Top Bottom