Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Waoh Mapunda chuki za wanasimba zishajulikana hongerasana
 
Asante Mungu...

At last tumeweza kuwanyamazisha waganda na kuwavua ubingwa....Na of course kwenda Semi final....

Kudos kwa Ivo Mapunda...
 
Mapunda namwaminia kwa kuyaona matuta. Asante Ivo, asante wachezaji wote.

Tiba
 
Hivi na wewe ni Mtanzania?

ajajua siri iliyowapa ubingwa kina ivo mapunda ndio maana hata watangazaji wanakuambia kama tutaingia kwenye penati basi tz tumepita kwani ivo ni mzuri zaidi kwenye penati..
 
Back
Top Bottom