km kuna kadi nyekundu ndo basi tushafungwa
Uganda wanapata freekick katika edge ya boksi la 18...
Ni hatari sana kwa Stars....
Mapunda anajirusha kama nyani na kuutoa mpira uliopigwa na Okwi...kona
Mapunda anaokoa kona na kufanya kazi ya ziada...kazi nzuri ya Ivo.
Ni muda wa kocha kumuingiza chuji sasa.
Wakati wanaanza walikuwa nayo pamoja na KBC1, na zilikuwa zinaonyesha ligi ya mabingwa ulaya, nadhan DSTV waliweka kauzibe zikaondolewa zote.Mkuu UBC ya Uganda wapo hewani...hivi visimbusi vya TZ kwani havina hii stesheni?
Ahsante mkuu, niamini tu kwamba imenipita. Ngoja niisikilize radio tanzania iliyobadilishwa jina.
Uganda wamesha lala
Ahsante mkuu, niamini tu kwamba imenipita. Ngoja niisikilize radio tanzania iliyobadilishwa jina.
Mungu Ibariki Tanzania tushinde mechi hii. Uganda uwa wanatuonea sana hao.
Tiba