Hana maana kabisa.
Mkuu refa anatoka nchi gani?Refa anatukandamiza.
Mkuu refa anatoka nchi gani?
Ngassa anatoka nje...kaumizwa
Chuji anaingia...
Mkuu mimi siko kwenye kideo, lakini inawezekanaje refa atoke Uganda halafu achezeshe match ambayo timu moja wapo ni ya nchi yake? Kanuni zinaruhusu kweli?uganda kwani huoni..
Mkuu mimi siko kwenye kideo, lakini inawezekanaje refa atoke Uganda halafu achezeshe match ambayo timu moja wapo ni ya nchi yake? Kanuni zinaruhusu kweli?