Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Kafunga freekick kwa akili sana...katumia 'outer' kuuchinja mpira kwa shuti lenye spidi ya wastani.
Nimekosa uhondo kweli maana toka asubuhi nimejiandaa kuona hii match live kupitia TBC1 halafu muda unafika wanatuwekea mambo ya Mandela, sijui kwa nini habari za Mandela wasionyeshe muda mwingine, hawa TBC1 wana matatizo sana.
 
Dah!!! Tanesco Vibaya hvo!! kwa kweli huu ni ukatili
 
Mkuu UBC ya Uganda wapo hewani...hivi visimbusi vya TZ kwani havina hii stesheni?

Nimekosa uhondo kweli maana toka asubuhi nimejiandaa kuona hii match live kupitia TBC1 halafu muda unafika wanatuwekea mambo ya Mandela, sijui kwa nini habari za Mandela wasionyeshe muda mwingine, hawa TBC1 wana matatizo sana.
 
Kipindi cha pili kimeanza

Kili wanapata freekick...

Samatta anaenda kupiga....mpira unatolewa...kona
 
ngumi hapa zimetokea baada ya sure boy kufanya madambi na kalimwa red card.. ayaaa..
 
Dk 52

Kunatokea rabsha kidogo hapa baada ya Walusimbi na Abubakar Salum kutendeana madhambi...

Sure Boy anapata kadi ya pili ya njano na anatolewa nje...

Kili wanacheza pungufu sasa....
 
sijui goli la pili limewachanganya kupanga matokeo kubaya sana..
 
Uganda wanapata freekick katika edge ya boksi la 18...

Ni hatari sana kwa Stars....

Mapunda anajirusha kama nyani na kuutoa mpira uliopigwa na Okwi...kona

Mapunda anaokoa kona na kufanya kazi ya ziada...kazi nzuri ya Ivo.
 
Back
Top Bottom