Goooooaaaaaall!!!! M.K. Ngassa tna!! 2-1
Ngassa leo kaamua kufana kweli leo.
Tz2-1Uganda.
Tanzania 2 Unganda 1 dk ya 45
Mrisho Ngasa alikuwa anakusanya nguvu kwenye robo fainali.
Dah Okwi hayupo?
Wamesahau kama wakenya ndo walikuwa wateja wakubwa wa babu wa Loliondo hadi wakaanza kumtangaza kwamba ni mkenya.Nasikiliza radio moja ya kenya wanadai Tz wanasaidiwa na babu wa loliondo.
Tanzania 2 Unganda 1 dk ya 45