Dk ya ngapi
Hawa washambuliaji wetu wanatakiwa waongeze goli la tatu ili mlima kwa Uganda uwe mkubwa kuupanda, maana tofauti ya goli moja sio zuri sana kwa afya ya mashabiki.
Dk 70 ug 1 - 2 tz
Dk 72
Uganda wanasawazisha..
refa anataka uganda ifunge nishaanza kuamini hilo..
Kama tutafungwa basi kuna haja ya kila tukipangwa na Uganda inabidi tujitoe, hii sasa fedheha wametufunga mara nyingi mno.
Kama tutafungwa basi kuna haja ya kila tukipangwa na Uganda inabidi tujitoe, hii sasa fedheha wametufunga mara nyingi mno.
refa anataka uganda ifunge nishaanza kuamini hilo..