Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Dk 18

Ngasa anaisawazishia Kili Stars

Uganda 1 - 1 Kili Stars
 
Hawa jamaa ni wababe wetu wakikutana na sisi wanakuwa na uhakika wa kushinda
 
Dk 21

Kili wanapata freekick...

Kichwa Morad kinaishia mikononi mwa kipa wa Uganda.

Uganda 1 - 1 Kili Stars
 
tv station gani wanaonyesha? tbc sioni

Nina wasiwasi TBC wameacha kuonyesha labda kuhusiana na kifo cha Mzee Mandela kwamba wataonekana ovyo kwa kuonyesha michezo wakati wa msiba mkubwa kama huu! Ni hisia zangu tu. Nashangaa hata hiyo makala wameirudia upya!! Au yawezekana wanahangaika na mitambo yao, si wajua tena, national Tv yetu ujanjaujanja wakati mwingine!?

Mimi naona katika Goon TV hadi sasa bao 1-1 dakika ya 30 first half!!
 
Dk 30

Uganda 1 - 1 Kili Stars
 
Ukabaji wetu sio mzuri kabisa!! jamaa wanapiga tu golini
 
Beki ya Stars imezubaa sana...hawa jamaa wanashambulia kwa akili
 
Hawa watoto wa micho leo lazima wakalale na viatu....sisi zetu kipindi cha pili
 
Shots on Target

Uganda 2 - 3 Kili Stars
 
Kili inapata freekick ya pili..

Gooooooal

Mrisho Ngasa
 
Goooooaaaaaaal Ngassa 2nd goal of the match ilkuwa n direct kick
 
Back
Top Bottom