Nina wasiwasi TBC wameacha kuonyesha labda kuhusiana na kifo cha Mzee Mandela kwamba wataonekana ovyo kwa kuonyesha michezo wakati wa msiba mkubwa kama huu! Ni hisia zangu tu. Nashangaa hata hiyo makala wameirudia upya!! Au yawezekana wanahangaika na mitambo yao, si wajua tena, national Tv yetu ujanjaujanja wakati mwingine!?
Mimi naona katika Goon TV hadi sasa bao 1-1 dakika ya 30 first half!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.