Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Zanzibar wananyimwa penati ya wazi kabisa....refa anapeta na kuamuru ipigwe kona
 
Zanzibar wameanza kuamka kiasi fulani ingawa wanakosa utulivu...
 
Dk 80

Ethiopia 2 - 0 Zanzibar
 
Dk 84

Goaaaal

Ethiopia wanapata bao la tatu...mfungaji ni jezi namba 16 Kebebe

Ethiopia 3 - 1 Zanzibar
 
Kuja kwa kombe la dunia nchini na kupokelewa kwa shangwe kubwa ni inshara gani kwa maendeleo ya mpira wetu na tasinia ya michezo kwa jumla, Je? ndiyo mapinduzi ya kuongeza chachu ya vijana wetu kupata molari ya kutaka kushiriki michuano ya kombe la dunia kwa mashindani yajayo? au tunajifunza nini kwa ujio huo?
 
daah jamaa walijikamua mechi ya kwanza
itabidi ijayo tukazane kweli!
 
Dakika zilizobakia hazitoshi hata funda la maji kushuka kwenye koromeo...wakati wowote mtanange huu utamalizika.
 
Mpira umekwishaaaa...

Dk 90 FT

Ethiopia 3 - 1 Zanzibar

Ethiopia wanaibuka washindi wa mechi hii na wanaishusha Zanzibar katika nafasi ya uongozi wa kundi A.
 
Mechi ya pili kwa siku ya leo.

Mchezo huu unachezwa Nyayo Stadium...ni mchezo wa pili kwa timu zote.

Dk 18

Kenya 1 - 0 Sudan Kusini
 
Dk 26

Sudan Kusini wanasawazisha goli kwa freekick iliyopigwa na Justin Lado.

Kenya 1 - 1 Sudan Kusini
 
Dk 29

Kenya wanapata bao la pili...mfungaji anajitwisha vyema majimaji iliyomiminwa toka wingi ya kulia

Kenya 2 - 1 Sudan Kusini
 
Dk 29

Kenya wanapata bao la pili...mfungaji anajitwisha vyema majimaji iliyomiminwa toka wingi ya kulia

Kenya 2 - 1 Sudani Kusini
Hilo goli la pili la Kenya kama alilofunga Asamoah dhidi ya Simba siku ya fainali ya Kagame mwaka juzi, tofauti tu ni kwamba ile cross ilitoka kushoto na hii imetoka kulia.
 
Dk 45 HT

Sudani Kusini 1 - 2 Kenya
 
Hilo goli la pili la Kenya kama alilofunga Asamoah dhidi ya Simba siku ya fainali ya Kagame mwaka juzi, tofauti tu ni kwamba ile cross ilitoka kushoto na hii imetoka kulia.

Naam bila shaka ilikuwa ni upande wa goli la kaskazini ya Main Stadium...

Ni moja ya magoli mazuri ya mashindano maana mfungaji ni mfupi lakini kaufuata mpira juu na kauelekeza chini...
 
Kipindi cha pili kimeanza...

Sudan Kusini 1 - 2 Kenya
 
Dk 55

Sudan Kusini 1 - 2 Kenya
 
Dk 65

Sudan Kusini 1 - 2 Kenya
 
Back
Top Bottom