Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Yap.Mkuu watu8 huu ndio uzuri wa jf,leo siko kwenye kideo lakini naamini kwamba nitashuhudia kila kitu,jitahidi sana kushusha matokeo.

Tupo pamoja mkuu...

Ila Zanzibar wamepwaya sana na wasipokuwa makini tutaweza kuzungumza lugha nyingine mwishoni...
 
Dk 8

Ethiopia wanapata kona...wanakosa kutumia kona mpira unakuwa wa kurushwa
 
Dk 13

Ethiopia wanakosa goli la wazi...mshambuliaji nambari 10 anapiga mpira nje wakati lango la Zenji likiwa limeachama...
 
Dk 16

Selemen Kassim Selembe ametoka nje na nafasi yake imechukuliwa na Seif Khatib Abdallah...

Hapo awali Selembe alipata rabsha kwenye misuli ya paja...
 
Dk 20

Ethiopia 1 - 0 Zanzibar
 
Dk 22

Zanzibar wanafanya attempt ya kwanza...wanapata kona.

Kona inapigwa...kipa anaokoa
 
Dk 26

Zanzibar wanajaribu tena kwa shuti la mbali...kipa anadaka
 
Tupo pamoja mkuu...

Ila Zanzibar wamepwaya sana na wasipokuwa makini tutaweza kuzungumza lugha nyingine mwishoni...

Ethiopia ni wazuri kulikonhata Kilimanjaro Stars,na katika mechi hii zanzibar ni kupata ushindi ni asilimia 5,kutoka sare ni asilimia 15 zinazobaki ni kufungwa!
 
Zanzibar wanatakiwa pale nyuma wafanye marekebisho haraka, wanapoteana sana, vinginevyo ile timu kama 'yangu' itaibuka kidedea.
 
Dk 28

Ethiopia wanapata freekick nje kidogo ya 18...

Zanziba wanaweka ukuta....inapigwa shuti linagonga ukuta na kuokolewa
 
Dk 31

Kadi ya kwanza ya njano ya mchezo

Seif Rashid wa Zenji anapata kadi ya njano...
 
Zanzibar sio wabaya sana isipokuwa wanapwaya sana kwenye defence yao...

Pili hawajaweza kutengeneza nafasi za kufunga...hadi sasa wamepiga mashuti mawili tu na moja ndio on target.

Ethiopia ni wazuri kulikonhata Kilimanjaro Stars,na katika mechi hii zanzibar ni kupata ushindi ni asilimia 5,kutoka sare ni asilimia 15 zinazobaki ni kufungwa!
 
Dk 36

Penatiii...Ethiopia wanapata penati
 
Back
Top Bottom