Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Ivo Mapunda anatumia ujanja wa kimichezo kupoteza muda dakika hizi za lala salama maana muda ushaisha....
 
Mpira umeishaaaa


Tanzania Bara 1 - 1 Zambia
 
Mkuu huo uwanja ni wa rugby nadhani...imekuwa ngumu kwa timu zote kucheza uzuri...

Wazee wa sare afu wanaridhika na kupongezana! Dawa yao wapelekwe jeshini tu wakapewe adhabu ndio wataona magoli. Godamn it.
 
Hii timu sijui vipi,hivi mara ya mwisho sisi tz tumeshangilia ushindi wa taifa lini?
 
Leo Ijumaa;

Dk 35

Sudan 3 - 0 Eritrea
 
Dk 45 (HT)

Sudan 3 - 0 Eritrea
 
Mkuu huo uwanja ni wa rugby nadhani...imekuwa ngumu kwa timu zote kucheza uzuri...

Mimi nadhani hata kama uwanja ikoje, is not a concrete reason why wasipate ushindi. Mbona wengine wanapatia ushindi hapo hapo? Kuna tabia mbaya sana ya wachezaji wetu kutokujituma ipaswavyo mkuu. Arrrrghh!!!!
 
Dk 90 (FT)

Sudan 3 - 0 Eritrea
 
Mechi ya pili leo


Dak 25

Uganda 0 - 0 Rwanda
 
Match Day 4

Ethiopia vs Zanzibar

Timu zimeshaingia uwanjani, zimekaguliwa na sasa makapteni wanarusha sarafu.

Mechi hii inachezwa katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi.

Hali ya uwanja ni nzuri, ikichagizwa na hali ya hewa ya kibaridi kwa mbali.

Wakati wowote kipute hiki kitaanza...
 
Dk 4

Ethiopia 1 - 0 Zanzibar
 
Match Day 4

Ethiopia vs Zanzibar
Timu zimeshaingia uwanjani, zimekaguliwa na sasa makapteni wanarusha sarafu.

Mechi hii inachezwa katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi.

Hali ya uwanja ni nzuri, ikichagizwa na hali ya hewa ya kibaridi kwa mbali.

Wakati wowote kipute hiki kitaanza...

Yap.Mkuu watu8 huu ndio uzuri wa jf,leo siko kwenye kideo lakini naamini kwamba nitashuhudia kila kitu,jitahidi sana kushusha matokeo.
 
Ethiopia wamefanya move nzuri na wameandika bao la kwanza baada ya mfungaji kumalizia krosi iliyotoka wingi ya kulia...
 
Back
Top Bottom