FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,792
- 46,908
Mkataba uvunjwe, bandari irudi!
Ila pia Zanzibar wameonewa sana kunyang'anywa mamlaka ya nchi yao...Kama tunavyoumia tuone na wao maumivu yao....Mtendee mtu upendavyo kutetendewa nayeMzee Mtikila, alitwambia Tanganyuka ni watumwa wa Zanzibar. Tukakuita chizi maarifa,,
Sasa yametimia,,!
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Msitafute mchawi, kwani yeye ndiye aliwapeleka ku sign huo u mangungo?Aa thubutuu hawezi huyo mama katumwa na mustafa karamagi yule muhaya mwenzake si ndio walikua na mkataba wa miaka 25 pale bandarini hakuna walichofanya leo wameondolewa wanaleta mdomo . Majizi ni mengi nchi hii na vijana wengi kwa kuwa hawajielewi nao wanafuata mkumbo.
Ni vyema ungemaliza Kwa kusema Tanganyika kwanzaWakuu,
Hili sakata la bandari limechora mstari, kwa leo naomba nimpe maua mama yetu mpenzi Prof Anna Tibaijuka! Amechora mstari ambao wengi kwa umri wake na nafasi walizopitia wasingeweza kusimama bila woga.
Prof Anna Tibaijuka tunakupa maua yako ukiwa hai mama. Umesimama kizalendo na kutumia vizuri elimu na exposure yako kukataa mkataba huu wa bandari.
Mama Tibaijuka kagusa maeneo muhimu, National pride, historia, uzoefu wa kibunge na kiserikali, kisheria na kiuchumi!
Haya ni maua special kwa mama T tu ila mapambano yanaendelea na maua tunatoa!
Tanzania kwanza [emoji1241]
Karamagi aliwekeza bandarini miaka 30 mbona akusema? chuki chuki ukabila ukabila twende tuViva Prof Anna Tibaijuka.
Ameonyesha kuwa ni kichwa na bila woga ameuraua mkataba hadi viongozi walioingia kichwa kichwa kwenye mkababa wa bandari WANAONA SONI.
Ila Mbarawa mtetezi wa Waarabu! Poasa tangulini fisadi akawa mtetezi wa wanyonge?
Kwa hiyo wewe jibu lako ni kukubali kuuzwa kwa miaka 100 kwa waarabu.Karamagi aliwekeza bandarini miaka 30 mbona akusema? chuki chuki ukabila ukabila twende tu
Ubarikiwe Mama Tibaijuka,Wakuu,
Hili sakata la bandari limechora mstari, kwa leo naomba nimpe maua mama yetu mpenzi Prof Anna Tibaijuka! Amechora mstari ambao wengi kwa umri wake na nafasi walizopitia wasingeweza kusimama bila woga.
Prof Anna Tibaijuka tunakupa maua yako ukiwa hai mama. Umesimama kizalendo na kutumia vizuri elimu na exposure yako kukataa mkataba huu wa bandari.
Mama Tibaijuka kagusa maeneo muhimu, National pride, historia, uzoefu wa kibunge na kiserikali, kisheria na kiuchumi!
Haya ni maua special kwa mama T tu ila mapambano yanaendelea na maua tunatoa!
Tanzania kwanza [emoji1241]
Jikite kwenye HOJA.
KabisaWakuu,
Hili sakata la bandari limechora mstari, kwa leo naomba nimpe maua mama yetu mpenzi Prof Anna Tibaijuka! Amechora mstari ambao wengi kwa umri wake na nafasi walizopitia wasingeweza kusimama bila woga.
Prof Anna Tibaijuka tunakupa maua yako ukiwa hai mama. Umesimama kizalendo na kutumia vizuri elimu na exposure yako kukataa mkataba huu wa bandari.
Mama Tibaijuka kagusa maeneo muhimu, National pride, historia, uzoefu wa kibunge na kiserikali, kisheria na kiuchumi!
Haya ni maua special kwa mama T tu ila mapambano yanaendelea na maua tunatoa!
Tanzania kwanza [emoji1241]
Tunakujua TICTS ya Karamagi Muhaya kalipwa huyo chake tayariWakuu,
Hili sakata la bandari limechora mstari, kwa leo naomba nimpe maua mama yetu mpenzi Prof Anna Tibaijuka! Amechora mstari ambao wengi kwa umri wake na nafasi walizopitia wasingeweza kusimama bila woga.
Prof Anna Tibaijuka tunakupa maua yako ukiwa hai mama. Umesimama kizalendo na kutumia vizuri elimu na exposure yako kukataa mkataba huu wa bandari.
Mama Tibaijuka kagusa maeneo muhimu, National pride, historia, uzoefu wa kibunge na kiserikali, kisheria na kiuchumi!
Haya ni maua special kwa mama T tu ila mapambano yanaendelea na maua tunatoa!
Tanzania kwanza [emoji1241]