Special salute! Profesa Anna Tibaijuka!

Special salute! Profesa Anna Tibaijuka!

Naunga mkono hoja.

Mama Tibaijuka ameamua kwa uwazi kabisa kutokuwa mnafiki kama wengi walivyo, amesema wazi Samia nampenda, lakini kwa ule mkataba, amesema HAPANA.
Na yeye Tibaijuka aliyetaka kuuza Kigamboni kabla ya sakata la Escrow ni nani aliridhia yale maamuzi?
 
Kwani huo mkataba ofisi ya mwanasheria mkuu hawakuupitia? mbona umekaa kichifu mangungo sana.......au ndo kile kifungu ndani ya maandiko kwamba rushwa aka. asali hupofusha akili.
 
mabilion aliyowekewaga kwenye akaunti yake kupitia lile sakata la escrow aliyaludisha? tuanzie hapo kwanza

Ni kwa sababu ya hulka ya watanzania kudandia mambo bila kuwa na facts.
Huyo mama alipewa mgao na Rugemalira baada ya kumtonya kuwa hela za escrow zilikuwa zipigwe juu kwa juu na Born Town pamoja Seth na AG.
Ile ilikuwa zawadi kwa role hiyo.
Hana njaa kivile huyo mama
 
Wakuu,

Hili sakata la bandari limechora mstari, kwa leo naomba nimpe maua mama yetu mpenzi Prof Anna Tibaijuka! Amechora mstari ambao wengi kwa umri wake na nafasi walizopitia wasingeweza kusimama bila woga.

Prof Anna Tibaijuka tunakupa maua yako ukiwa hai mama. Umesimama kizalendo na kutumia vizuri elimu na exposure yako kukataa mkataba huu wa bandari.

Mama Tibaijuka kagusa maeneo muhimu, National pride, historia, uzoefu wa kibunge na kiserikali, kisheria na kiuchumi!

Haya ni maua special kwa mama T tu ila mapambano yanaendelea na maua tunatoa!

Tanzania kwanza [emoji1241]
*She deserves credit for her courageous and confident challenging thoughts to the rulers; kudos hon.Tiba
 
Wakuu,

Hili sakata la bandari limechora mstari, kwa leo naomba nimpe maua mama yetu mpenzi Prof Anna Tibaijuka! Amechora mstari ambao wengi kwa umri wake na nafasi walizopitia wasingeweza kusimama bila woga.

Prof Anna Tibaijuka tunakupa maua yako ukiwa hai mama. Umesimama kizalendo na kutumia vizuri elimu na exposure yako kukataa mkataba huu wa bandari.

Mama Tibaijuka kagusa maeneo muhimu, National pride, historia, uzoefu wa kibunge na kiserikali, kisheria na kiuchumi!

Haya ni maua special kwa mama T tu ila mapambano yanaendelea na maua tunatoa!

Tanzania kwanza [emoji1241]
Tudokeze kasemaje nasi tummininie
 
Mjinga mkubwa huyo anaumia kwa sababu fisadi mwenzake na muhaya kufurushwa bandarini? Fisadi huyo
Wapumbavu kama ninyi hamkosekani. Badala ya kujibu hoja unamshambulia alietoa hoja? Jitathmini basi
 
1687375986381.png
 
Back
Top Bottom