mh..mtoto unapenda gari eehmambo ya usafiri wa boda boda sitaki....huwezi kulipa taxi....?
haya don mangi is in the house nicheki kwa pm then drinks and food on me; hata nauli ya boda boda ukitaka, serious for moshi friends then wa arusha wajiandae next week
mh..mtoto unapenda gari eeh
Jioni Tukutane MAKUMBA au pale MALINDI...ila kesho asubuhi naingia MANYARA..kumuona mpwa wangu..
U will just gv me a sign kabla hujaenda...malindi nakaaga kule mbele karibia na counter ya mwisho juu kuna tv
Lol...binti kavaa kimini huyo mzee utamkosa maana boda boda akikumbatia dereva na mapaja ya moto anaweza kushangaa jamaa anaipaki kichakani anaanza kulilia...
Kama ni wewe hata ndege kodi ntalipia mamaa..I think moshi got the lowest taxi rates buku 3 unaeza zunguka mji mzima
Makumba siyo eeh basi ukuja tu ukaniambia don mangi vp utakula bia zako mpaka uchoke
Hahaha haya bana...uko api sa hivi?
kama hivyo sawa....basi nitakudip nikifika....