Special for me and you

Vaislay

JF-Expert Member
Jun 26, 2011
4,532
1,822
Habari tena wanajf..namefanya tathimini,wanajf nimegundua tunamasihara,yani tupo kwa jili ya kupoteza muda.wachache sana utakuta wanaongea serious,jamani mtu mpaka aeleze tatizo lake ni kwamba anahitaj ushauri sio masihara..tujirekebisheni basi.tuwe serious kwa wale wanaotaka ushaur.
 
tatizo dadangu Lizzy uko addicted na MMU..

Haya tena...hapa napo naona nyota nyota tu!!Tatizo ni nini?!Linahusiana vipi na kilichoandikwa hapo juu?!Kua addicted na MMU kuko vipi?!Umethibitisha wapi kwamba mimi niko addicted?!Na hata kama ningekua addicted kweli tatizo lingekua wapi!!?

Najaribu tu kuelewa...
 
Habari tena wanajf..namefanya tathimini,wanajf nimegundua tunamasihara,yani tupo kwa jili ya kupoteza muda.wachache sana utakuta wanaongea serious,jamani mtu mpaka aeleze tatizo lake ni kwamba anahitaj ushauri sio masihara..tujirekebisheni basi.tuwe serious kwa wale wanaotaka ushaur.
Nikimaliza mfungo naomba nikuvishe pete ya uchumba......
 
Haya tena...hapa napo naona nyota nyota tu!!Tatizo ni nini?!Linahusiana vipi na kilichoandikwa hapo juu?!Kua addicted na MMU kuko vipi?!Umethibitisha wapi kwamba mimi niko addicted?!Na hata kama ningekua addicted kweli tatizo lingekua wapi!!?

Najaribu tu kuelewa...

Wewe uko adiktedi na MMU na ushahidi ni uwepo wako hapa 24/7, 365/366
 
Habari tena wanajf..namefanya tathimini,wanajf nimegundua tunamasihara,yani tupo kwa jili ya kupoteza muda.wachache sana utakuta wanaongea serious,jamani mtu mpaka aeleze tatizo lake ni kwamba anahitaj ushauri sio masihara..tujirekebisheni basi.tuwe serious kwa wale wanaotaka ushaur.

Hasira ulizo ziona ni kama hizi?

Haya tena...hapa napo naona nyota nyota tu!!Tatizo ni nini?!Linahusiana vipi na kilichoandikwa hapo juu?!Kua addicted na MMU kuko vipi?!Umethibitisha wapi kwamba mimi niko addicted?!Na hata kama ningekua addicted kweli tatizo lingekua wapi!!?

Najaribu tu kuelewa...
 
Haya tena...hapa napo naona nyota nyota tu!!Tatizo ni nini?!Linahusiana vipi na kilichoandikwa hapo juu?!Kua addicted na MMU kuko vipi?!Umethibitisha wapi kwamba mimi niko addicted?!Na hata kama ningekua addicted kweli tatizo lingekua wapi!!?<br />
<br />
Najaribu tu kuelewa...
<br />
<br />
ukianzia na zawadi basi mi hapo ndio ushahidi tosha na kuhusu huu uzi ulipo soma tu kichwa cha habari tu ukaanza kufikiria ki MMU zaidi..
 
Habari tena wanajf..namefanya tathimini,wanajf nimegundua tunamasihara,yani tupo kwa jili ya kupoteza muda.wachache sana utakuta wanaongea serious,jamani mtu mpaka aeleze tatizo lake ni kwamba anahitaj ushauri sio masihara..tujirekebisheni basi.tuwe serious kwa wale wanaotaka ushaur.

Mbona heading na maelezo yako yako tofauti
Ila jua kwamba ukija kimzaha mzaha utaishia kupata majibu ya kimzaha
na within mzaha kuna watu wanakupa point so unaruhusiwa ku9soma na kuchambua pumba na mchele
 
ukianzia na zawadi basi mi hapo ndio ushahidi tosha na kuhusu huu uzi ulipo soma tu kichwa cha habari tu ukaanza kufikiria ki MMU zaidi..

Zawadi inahusiana vipi na MMU?!Ina maana nisingeijua JF nisingekua mtunzi?!
 
Mbona heading na maelezo yako yako tofauti
Ila jua kwamba ukija kimzaha mzaha utaishia kupata majibu ya kimzaha
na within mzaha kuna watu wanakupa point so unaruhusiwa ku9soma na kuchambua pumba na mchele

Kwa nini mungu ni mwanaume?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom