Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,811
- 7,489
- Thread starter
- #21
Inawezekana na sisi kuwa dominant kwenye space colonization
Jamani huyu mgonjwa wa akili kama doctor shika ukisoma afu ukose kazi ...kidogo akili huwa inachanyikiwa ... una kuwa le professel kama yule the comedy show .....msameheni ndugu zake wampe dawaInawezekana na sisi kuwa dominant kwenye space colonization
Endelea kuchangamsha uziJamani huyu mgonjwa wa akili kama doctor shika ukosoma afu ukose kazi ...kidogo akili huwa inachanyikiwa ... una le professel kama yule the comedy show .....msameheni ndugu zake wampe dawa
Lini na kupitia chama Gani?Safi sana komaa mkuu , kwa inavyoonekana kuwa raisi wa Tz ukikomaa inawezekana.
Kwamba unakataa bwashee?Lini na kupitia chama Gani?
Inawezekana, lakini sio rahisi ivo! Mbaya zaidi katiba hairuhusu Mgombea binafsi! Ndio mana nikauliza anagombea kupitia chama gani na Lini!Kwamba unakataa bwashee?
Sio Rahisi ila inawezekanaInawezekana, lakini sio rahisi ivo! Mbaya zaidi katiba hairuhusu Mgombea binafsi! Ndio mana nikauliza anagombea kupitia chama gani na Lini!
We nae chizi ukiangalia documentary huko unakuja kujifanya unajua hujui chochote mkuu kunywa dawa na ukichaaHizo one quadrillion kwenye space colonisation zipo wapi hilo ndo swali la kujiuliza au utaniuliza zipo kwenye mambo yafuatayo
- Space shuttle hapa namaanisha rockets
- Space mining hapa namaanisha uvunaji wa madini kwenye sayari mbalimbali
- Space tourism hapa namaanisha watu kutembelea sayari tofauti tofauti
- Multiplanetary business
Kwani na wewe umenyimwa kuangalia documentary, na wewe angalia uje uhadithie kama ni rahis hivyoWe nae chizi ukiangalia documentary huko unakuja kujifanya unajua hujui chochote mkuu kunywa dawa na ukichaa