Mandela alifanya mengi hapa duniani.Mandela has done enough for his people. Let him rest in peace
Lakini lazima tujue kuna maisha baada ya kufa, miaka ya kuishi ni ujaliwa miaka 100, kuna moto wa milele na pepo ya milele, yote haya unayaandaa ukiwa hai, kila mtu atakufa hata wewe lakini umejaandaaje kwa ajili ya maisha baada ya kufa, .Wokovu sio dini ni kumkiri Yesu Kristo kwa kinywa kuwa ni Bwana na Mwokozi wa maisha yako na kuamini kwa moyo wako wote.
Pepo unaitafuta ukiwa hai, haiko hapa duniani lakini unatafutwa duniani unaipata mbinguni.
Wokovu ni kujitoa, kuna mambo yatakugarimu ili upate nguvu ya kushinda dhambi.
Dunia ukiipenda huwezi kumpenda Mungu, mpe Yesu maisha yako sasa .a